MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 886
Anayeliona ni Mkwassa sio wewe mbumbumbu, na ndio maana Mkwassa akamfuatilia sana mwisho akatoa taarifa wamekwama kuafikiana bei.Sio kwamba SIZITAKI MBICHI HIZI, kila ninvyoangalia sioni ni kwa
namna gani yanga itapata pengo kwa kumpoteza Haruna Niyonzima
Zifuatilie mechi za Yanga halafu katika hizo mechi akosekane Haruna
baada ya hapo zifuatilie mechi za yanga ambazo amekosekana Msuva
halafu urudi hapa utueleze.