Lol si hivyo AD ninamaanisha kuwa (sijui nakosea?) but ile pete na ile will you marry me si inatakiwa iwe kama suprise hivi? Kuwa unaye boyfriend but hujui lengo lake kwako, you are having your good time together, no known future plans and then baaaam unashtuka tu mtu kapiga goti, au ndo kakudumbukizia kwenye glasi yenye red wine e.t.c ndio anakuomba au nimeathirika na tamthilia??
Huku kwa wengi wetu naonaga mdada anakuwa ameshaakubaliana na mwenzake kuwa atamuoa (wengine mimba zinakuwa vichocheo). So hata anapokuja na pete mdomoni, na kuomba akubali amuoe, ile excitement inakuwa imeshachakachuliwa au?
Mwe mie wa zamani jamani, haya yote ni mashikolo magheni kwangu.
MJ1 zungumzia ile kuw ahakuna mimba wala nini
Ndo suprise hiyo jamaa anakuja na pete yake na suprise in the middle of great pleassure anapiga goti na kukuomba "Will you marry me"
Hiyo excitment utakayoitapa na then ujibiwe na jibu la NO wakati mmeshare a lot