Sim card ya TTCL kutounganishwa na internet

Sim card ya TTCL kutounganishwa na internet

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Wakuu niliambiwa TTCL Wana bundle mrua la data, nikaona isiwe tabu nikatafuta laini ya TTCL , cha ajabu Kwanza sjui hawana menu Wana application ya kujiunga na vifurushi na penyewe lazma uwe online

Application haina sehemu ya huduma Kwa wateja , ina mana kama huna kifurush cha data applctn inakuwa useless , labda utumie lain nyingine na hapa lazma simu yako isupport two SIM card tofaut na hapo imekula kwako,

Mbaya Zaid nimeunga data lakn hasiomi mtandao , tatizo liko wap wakuu, Kwa wazoefu wa hawa ttcl watujuze , au coverage yao ndogo ?? Nawaza hata kuitupa niendelee na wabangaizaji wa tigo, halotel na vda
 
*148*30 menu kuu
*148*30*35 university
Umefanya setting ya kua access line yako internet kwenye simu yako?!
 
nikwambie kitu me nilijiunga bundle ya mwezi GB 3 kwa 5000 Nilijuta kwanza internet yao ipo chini ukitaka kununua salio kupitia t pesa inagoma kiufupi nataka kuitupa sina hamu nao ttcl
 
Ttcl bora dar ila mikoani data ni shida mnara hausomi njoo ndukinduki UN full kujiachia
 
nikwambie kitu me nilijiunga bundle ya mwezi GB 3 kwa 5000 Nilijuta kwanza internet yao ipo chini ukitaka kununua salio kupitia t pesa inagoma kiufupi nataka kuitupa sina hamu nao ttcl
Halafu bila aibu wanatuambia turudi nyumbani kumenoga!
 
Tatizo la kutopata internet ni kwa sababu hujafanya configuration ya hiyo Sim card. Weka kwanza huo mpangilio na uhakikishe unaiweka simu yako kwenye masafa 4G au 3G usiiche ichague yenyewe(automatic).
 
nikwambie kitu me nilijiunga bundle ya mwezi GB 3 kwa 5000 Nilijuta kwanza internet yao ipo chini ukitaka kununua salio kupitia t pesa inagoma kiufupi nataka kuitupa sina hamu nao ttcl
Weka moja kwa moja 4G au 3G usiache ichague yenyewe. Ukiacha automatic mtandao ukishuka kidogo tu inashuka hadi 2G.
 
Inategemea uko wapi,kama mimi nikiwa job huwa mtandao unazingua sana ila nikifika hom inakuwa poa tu, ndo maana kwasasa natumia kwa kuweka dakika tu mana kwa laini yangu ya watumishi nikipata dk 300 za mitandao yote kwa elf 4 kwa mwezi inatosha kabisa ila kwa mb nilishaachana nao
Yoote uongo mimi nimejiunga na ttcl wako safi sanasana
 
Kama mtandao hausomi ukiwasha data, nenda kwenye settings za simu yako alaf fungua Cellular Networks chagua TTCL; fungua Access Point Name.. Hapo sasa uta-create APN alf utajaza kwenye Name andika TTCL alaf kwenye APN andika internet.
 
Back
Top Bottom