Nilikwambia niliondoka Friday nipoNipo dada since last week lakini pembeni kidogo VP umeshaondoka?
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
hapa karibu week ya pili huku kwa Oummmm ummmmm. Joto we acha tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikwambia niliondoka Friday nipoNipo dada since last week lakini pembeni kidogo VP umeshaondoka?
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]Ha ha ha ha ha ha... Watu wa udaku utawaweza junior?
Ooh nimekumbuka dada huku mvua tuuNilikwambia niliondoka Friday nipo
hapa karibu week ya pili huku kwa Oummmm ummmmm. Joto we acha tu.
Kama nimekusoma sawasawa, umedai umeona udaku kwamba alikutwa na hirizi na mpenzi wake!!! Kama ndivyo, huyo hawezi kuwa mpenzi wa kiume hata kama ana viungo vya kiume! Sifa kuu ya mwanaume ni kifua hususani linapokuja jambo la aibu kwa mwenza wake!! Sasa yeye kaona hirizi tu inapumua; dunia mzima inafahamu!!! Mwanaume angepiga chini kimya kimya na hiyo ikabaki siri yake....WA kiume
Naitamani mvua ila najua ikianza tutaipata.
Kutoweka vitu wazi'mitandao ya kijamii inaweza ikamsaidia asisemwesemwe.ni wazo tu.NI maisha yapi yasiyo ya kawaida anayoishi Lulu?!
Mbona vitu anavyoweka mitandao ni vya kawaida sana!! Au ku-post picha akiwa na bwana ake... jambo ambalo kwa dunia ya leo hata asipofanya yeye; watu wata-post tu unless asiwe anakuwa nae pamoja kabisa!!!Kutoweka vitu wazi'mitandao ya kijamii inaweza ikamsaidia asisemwesemwe.ni wazo tu.
[emoji120] [emoji120] [emoji817] [emoji817] [emoji115]Mshana jr umeingia lini huku, kuwajengea hoja wasanii au wanamuziki kwenye mitandao kuna maana na matokeo tofauti tofauti. Ata hivi jinsi watu wanavyojibu hoja inathibitisha unavyoheshimika.
Yeah sure thanks nimekupata vizuri sanaKama nimekusoma sawasawa, umedai umeona udaku kwamba alikutwa na hirizi na mpenzi wake!!! Kama ndivyo, huyo hawezi kuwa mpenzi wa kiume hata kama ana viungo vya kiume! Sifa kuu ya mwanaume ni kifua hususani linapokuja jambo la aibu kwa mwenza wake!! Sasa yeye kaona hirizi tu inapumua; dunia mzima inafahamu!!! Mwanaume angepiga chini kimya kimya na hiyo ikabaki siri yake....
jamani "HIMEKUWAJE" TENA?Kama binadamu na Kama mzazi ukiacha mapungufu yote ya Lulu. Elizabeth Michael naye ni binadamu mwenye hisia kama wengine! Anastahili kupata kila unachostahili wewe, upendo ulinzi kujaliwa utu wake kusifiwa privacy nk nk
Kuna watu wana kipawa cha kuwa maarufu kiasili Lulu ni mmojawapo na tatizo limeanzia hapo
Ni binti ambaye nyota yake iliwaka akiwa mdogo kabisa, umaarufu wake kuna watu wameusotea miaka bila kuupata..hili ni tatizo la pili
Nyota yake hiyo ikaenda sambamba na matatizo, katika Umri mdogo kabisa akapata mpenzi ambaye mamilioni ya wanawake wangetamani kumpata na ikibidi kummiliki milele..hili ni tatizo la tatu na msingi wa mada
Hulka yake binadamu ni kufurahia ama kuona mwingine anashindwa hasa yule anayedhani kamzidi hiki ama kile...ishu za haters huanzia hapa
Tangu wakati huo Lulu hajawahi kupumua ikawa ni bandika bandua ya matatizo, sehemu kubwa ya jamii ikajitenga naye bila kutafakari kwamba nje ya ustaa na umaarufu wake Lulu ni binti kama binti mwingine yoyote anayepitia hatua za kawaida kabisa za makuzi na anakumbana na mengi....
Mabinti wengi huchukua maamuzi mabaya ya kujiua kwenye changamoto ndogo tu za ukuaji. Jamii ikamtenga fulani hivi wachache wakampa moyo wa kusonga mbele anaweza kusimama na kuendelea mbele NAMSIFU
matatizo yamemkomaza yuko imara kuliko maelfu ya watu, lakini ni nani anayependa kuambiwa kuwa ana nuksi? Ama kimavi? Ni nani anayependa kuitwa kuwa yeye ni malaika wa kifo? Hakuna!!!!
Lulu katika binadamu wake anapenda maisha yake amani furaha na upendo... Lakini kagundua kuna tatizo mahali... Kaenda kusaka tiba mbadala, limekuwa ni tatizo kubwa!
Ni nani ambaye hapendi kujaribu njia nyingine kama akiona mambo hayaendi? Tuacheni unafique kiwango cha PhD
hasa hiki kipengele hapa ndio kimefanya ni hisi kuna mtu ame hack a/c yako hahahahaha:[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Ni nani ambaye hapendi kujaribu njia nyingine kama akiona mambo hayaendi? Tuacheni unafique kiwango cha PhD