Simama upande wa Lulu

Kama nimekusoma sawasawa, umedai umeona udaku kwamba alikutwa na hirizi na mpenzi wake!!! Kama ndivyo, huyo hawezi kuwa mpenzi wa kiume hata kama ana viungo vya kiume! Sifa kuu ya mwanaume ni kifua hususani linapokuja jambo la aibu kwa mwenza wake!! Sasa yeye kaona hirizi tu inapumua; dunia mzima inafahamu!!! Mwanaume angepiga chini kimya kimya na hiyo ikabaki siri yake....
 
Mshana jr umeingia lini huku, kuwajengea hoja wasanii au wanamuziki kwenye mitandao kuna maana na matokeo tofauti tofauti. Ata hivi jinsi watu wanavyojibu hoja inathibitisha unavyoheshimika.
 
Kutoweka vitu wazi'mitandao ya kijamii inaweza ikamsaidia asisemwesemwe.ni wazo tu.
Mbona vitu anavyoweka mitandao ni vya kawaida sana!! Au ku-post picha akiwa na bwana ake... jambo ambalo kwa dunia ya leo hata asipofanya yeye; watu wata-post tu unless asiwe anakuwa nae pamoja kabisa!!!
 
Mkuu weka hata kapicha kake, hata zikiwa mbili tatu hatutojutia mbs... post nzuri kama hio isindikizwe na picha
 
Mshana jr umeingia lini huku, kuwajengea hoja wasanii au wanamuziki kwenye mitandao kuna maana na matokeo tofauti tofauti. Ata hivi jinsi watu wanavyojibu hoja inathibitisha unavyoheshimika.
[emoji120] [emoji120] [emoji817] [emoji817] [emoji115]

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Yeah sure thanks nimekupata vizuri sana

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
jamani "HIMEKUWAJE" TENA?
 
Tukiacha yooote yasemwayo kuhusiana na yeye ila Lulu ni mdada anayejua thamani yake ukiachilia mimama mizima iliyojazana Bongo movie.Kapitia katika matatizo ambayo kiukweli ni ngumu sana kuendana nayo ila mtoto wa watu kasimama imara anaendeleza maisha yake.Anastahili pongezi pia inaonesha mama yake pia ni msaada mkubwa kwake na anaweza kumrudisha kwenye mstari.Maana wasanii wengine wanashindana tu na mama zao na wao kutupia picha instagram na kutoa matamko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…