Simama upande wa Lulu

Uchawi wa kweli maranyingi hauhusishwi hayo madude yanayopumua na kwakweli mengi huwa ni utapeli
Ila kiukweli sijawahi kusikia mahusiano yanavunjika kwa suala kama la hirizi .. Kwa wanaojua mapenzi au waliowahi kupenda, watakubaliana na Mimi.
Labda hiyo ni kutafutiwa sababu. Unless wale wenye wasiwasi na mazingira waliyonayo,ndiyk baadhi huenda kwa waganga na kuambiwa, anayesababisha unashindwa labda kuchepuka,au kufanya jambo fulani,ni mwanamke wako au mwanaume wako.
 
Anakutana na mambo magumu kwa sababu ameyafakamia, angetulia wala asingekutana nayo yote
 
Ukweli mtupu wengi hutishwa bila sababu
 
Khaaaaaaa mshana Jr #ki black hahahahhaa
Loh ulipotelea wapi wewe? Kuna uzi unaotaja majina mabaya ngoja nipeleke kwako utaibuka mshindi[emoji85] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Loh ulipotelea wapi wewe? Kuna uzi unaotaja majina mabaya ngoja nipeleke kwako utaibuka mshindi[emoji85] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nipo mkuu sema mjini tunakimbizana sana,,,,,,,,,,,,,,,,, z hahahahhaa peleka tu
 
Mimi huyu binti simuelewi mbona anaishi Kama Hana majuto. Kama huu ni unafiki, I'm guilty as charged.
 
mkuu ndo amekutuma useme hivyo mbona kama hujam defence vizuri ila ujumbe umefika mwambie tumemuelewaaaaa
 
Umenikuna sana Mkuu. Watanzania tuko kinafiki na kiushabiki. Mara nyingi tunapenda kudakia vitu juu kwa juu bila kujua ukweli wake na kuwaaminisha watu . Tetesi zimekuwa zikichuliwa kama ukweli. Hatuna msimamo!
Tunaweza tukahitaji hiki kwa sababu hatutaki kile, kikija tunachohitaji tunasema bora kirudi ambacho tulikuwa hatukitaki.
Tunaweza tukasema tunampenda huyu baada ya dakika chache tukasema hatumtaki.
Mtu akifanikiwa tu, akupata changamoto tunasherehekea badala ya kumsaidia mwenzetu kukabiliana nazo.

Lulu kajijengea uwezo wa kujiamini ndio maana anaendelea kusonga mbele. Hata wanasiasa wanajua wanaishi na watu wa aina gani, ndio maana wanawachukulia walivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…