Tumefanya mdahalo wa kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu kilimo cha umwagiliaji kama njia ya kujikwamua kiuchumi. Akina mama walioshiriki walitoa ushuhuda wa jinsi kilimo hiki kimewasaidia kuboresha maisha yao na kuleta mabadiliko ya kijamii.
Kupitia vipindi kama Nijuze, tunaendelea kuhimiza usawa wa kijinsia, utawala bora, na mbinu endelevu za kuendana na mabadiliko ya Tabianchi
=====
We held an insightful discussion in Loswaki Village, exploring how irrigation farming can empower communities economically. Women farmers shared inspiring stories of how this practice has improved their lives and brought positive social change. Through programs like Nijuze, we continue to advocate for gender equality, good governance, and sustainable approaches to climate adaptation.