Kampuni ya kukusanya MadeniExtra musica ndo nini ?
Mwanamuziki anafanya kazi kwenye kampuni ya madeni ?Kampuni ya kukusanya Madeni
Ndo vileeeeMwanamuziki anafanya kazi kwenye kampuni ya madeni ?
Aisee hatari sana ndo maana alikufwa
Kwa hiyo ashakufa ?Ndo vileeee
Tens kwa uzembe wakeKwa hiyo ashakufa ?
Wanaumwa haoNimeona video mashabiki wake wamefukua mwili wake kuhakikisha kama ni yeye waangalie tattoo zake
Bas sawaMsanii na pia ni DJ.
Wewe hapo mtaani kwenu hata nyumba ya 3 hawakujui
Mimi mwenyewe nilikuwa simjui kabla ya hii thread.Utaachaje kumjua dj arafat mzee?
HahahahaaaaaHata mimi simjui
Nashangaa uli vyo mu attack jamaa
Usikute unayemuuliza ni membe
These are just id ' s mzee
Hakiwa Membe hairuhusiwi kumu attack ?Hata mimi simjui
Nashangaa uli vyo mu attack jamaa
Usikute unayemuuliza ni membe
These are just id ' s mzee
membe hawezi kuja kuchangia upuuzi kama huuHata mimi simjui
Nashangaa uli vyo mu attack jamaa
Usikute unayemuuliza ni membe
These are just id ' s mzee
alisitahili kufa alale kokote tu mimi simuombei mema kwenye nyama damu wala mifupaAlikuwa ni King wa Coupe Decale.
Ukiangalie waliokwenda kumzika ndiyo utajua. Mara kadhaa Drogba alikuwa akifunga goli basi hucheza kama anakata kitu hewani na kisu ambayo ndiyo ilikiwa style ya Coupe Decale. RIP Arafat.
Vijana vaeni kofia yaani Helmet mkiwa kwenye pikipiki. Pia kuweni waangalifu. Huyu Marehemu alisifika kwa kuendesha pikipiki ovyo ovyo. Na pikipiki imemuuwa.
Youtube zipo film zake kadhaa akiendesha ovyo. Wengi walijua ni muda tu yatamkuta.