Simanzi Yanga,wapangwa kundi moja na Simba-Kagame Cup

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waytatafuta visingizio wajitoe

Jr[emoji769]
 
Inafanyikia wapi? Je Yanga watakuwa na nauli pamoja na gharama nyingine za kuwawezesha kumudu kushiriki michuano hiyo?
Timu bingwa wa nchi Na bingwa mtetezi ndio wanatakiwa kushiriki..Yanga anaenda kama nani...
 
Saea
 
Hilo ni bonanza la Musonye kupiga hela, ni wajinga pekee ndio watasapoti upumbavu huu, ni mpumbavu pekee hapa duniani ndio atakubali kutumika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo Mikocha yetu haijui uchungu wa Derby na Michezaji minafique haijui maumivu ya kufungwa. Mechi ijayo tucheze mashabiki
 
Kuna midude inaichukulia yanga poa ila tupangwe na simba au fc vita tutawapiga nje ndani pumbavu zenu mbumbu fc.
 
iko hivyo jamaa wamegundua kuna uwezekano hizi timu zisikutane kama zitapangwa tofauti hivyo waziwahi kuziweka pamoja ili kukusanya mapato mapemaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…