OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
we ni k1-1...hukooooooooo
Nenda kapike bwana, muda umeenda sana.1-1...hukooooooooo
Hana adabu kabsia huyu refa😂Refa maliza mpira unamchelewesha raisi, hivi wewe una mamlaka ya kumoangia muda wa kulala raisi?
Hahaaaa utapata presha mkuu1-1...hukooooooooo
Dk 4Ni hatari sana na hapa zitaongezwa dakika nyingi maana mpira umesimama simama muda mrefu
Kitandani kwako au?1-1...hukooooooooo
AhahahahahaHuyu kocha nae ni kiazi,,Yan anamuacha kibu mtu kajichokea hana msaada kabisa
nenda kasome vizuri back pass law hasa kwenye kipengele cha ni wakati gani kipa haruhusiwi kudaka mpira anaorudishiwa na team mate wakeNi sheria namba ngapi mkuu tukafungue msahafu
Ishaisha hii Alhamdulillah Simba bingwa.Dk 4