Aah kumbe wachawi mpo eehPurizoni piga hao mikia Kuna zawadi yenu
Wamejaa wote golini hakuna pa kupitiaPrison wameweka ukuta mkali sana yani hakupitiki
Hawezi kuwa na hamu@scarESPRESSO COFFEE leo uko wapi mpaka nimeamua kujitoa muhanga?
Kaa Kwa kutuliaHii simbilisi sidhani kama itatoboa.
ESPRESSO COFFEE leo uko wapi mpaka nimeamua kujitoa muhanga?
Hujaona refa kafumba macho tuta la prison mzeePigia bendi hiyo hiyo mpaka mwisho, tusiskie hanari za refa kuhongwa baadaye