Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Simba wanatakiwa kuboresha kiungo cha kati alafu wasilazimishe sana kutaka kupita katikati wakati pamejaa.wapanue uwanja kutumia wingi za pembeni ili prison atanuke.bila kufanya hivyo hii mechi ushindi niwa kubahatisha.Alafu pia simba haina wachezaji aggresive kabisa.yaani timu inacheza kwakurelax kama ipo bonanza.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hili swala la kupita katikati ndo mahesababu ambayo nafikiria wamefundishwa na nani?

Kwanini unakuwa na mbinu ambazo ni costant hata pale ambapo zimekufanya ufungwe mara kibao?

Simba kila mtu kasha msoma mpira wake, wanaweza kudhani hii mechi ya leo wapinzani wao prison waluanza maandalizi juzi

Lakini ni mechi iliyoanza kufanyiwa mazoezi ya kimbinu tangu muda mrefu na hiyo ni kwasababu ya mfumo wa simba ambao ni ule ule siku zote usio badilika na ndio maana inakuwa rahisi wao kutusoma
 
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza
 
hapa bila bocco kuingizwa, hatupati goli, kagere anaruka ruka tu
😁😁😁 Bocco tena!! Si ndiyo huyu huyu mlitaka asicheze kabisa pamoja na mwenzake Mugalu! Na badala yake MK14 apewe nafasi ya kucheza!

Dah!! Msimu huu kuwa kocha wa simba shida anayo! Maana mashabiki hata hamueleweki!!
 
Hili swala la kupita katikati ndo mahesababu ambayo nafikiria wamefundishwa na nani?

Kwanini unakuwa na mbinu ambazo ni costant hata pale ambapo zimekufanya ufungwe mara kibao?

Simba kila mtu kasha msoma mpira wake, wanaweza kudhani hii mechi ya leo wapinzani wao prison waluanza maandalizi juzi

Lakini ni mechi iliyoanza kufanyiwa mazoezi ya kimbinu tangu muda mrefu na hiyo ni kwasababu ya mfumo wa simba ambao ni ule ule siku zote usio badilika na ndio maana inakuwa rahisi wao kutusoma
Yes mbinu zile zile, no plan B.
 
Sakho kaingia

Mzamiru katoka
 
Back
Top Bottom