Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Hata Bocco captain anahitajika sanaKama hayupo basi Sakho anahitajika sana hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Bocco captain anahitajika sanaKama hayupo basi Sakho anahitajika sana hapo
Kwani zile match mlizofungwa na kudraw Sakho hakuwepo?Kama hayupo basi Sakho anahitajika sana hapo
Na Bocco aingieAtoke bwalya aingie chama
nenda kaangalie mpira kwanzaAtoke bwalya aingie chama
Aingie Kibu DenisAtoke bwalya aingie chama
Najua Simba wakipata goli ndio utaufunga huu mdomo.Prison tena ndio anachukua Ubingwa?
Hili swala la kupita katikati ndo mahesababu ambayo nafikiria wamefundishwa na nani?Simba wanatakiwa kuboresha kiungo cha kati alafu wasilazimishe sana kutaka kupita katikati wakati pamejaa.wapanue uwanja kutumia wingi za pembeni ili prison atanuke.bila kufanya hivyo hii mechi ushindi niwa kubahatisha.Alafu pia simba haina wachezaji aggresive kabisa.yaani timu inacheza kwakurelax kama ipo bonanza.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Karibu Yanga Mrembo,the home of happiness.
Kwani Chama wapo wawili?Atoke bwalya aingie chama
Kuna tatizo kubwa hapo benchi la ufundi, yaani upangaji wa kikosi ni tatizo kubwa, yaani pamoja na kuwa sina taaluma ya ukocha lakini naweza kuona mapungufu makubwa kuliko hao makochaKuna Sababu ya Kumuanzisha Nyoni Na Mzamiru?
😁😁😁 Bocco tena!! Si ndiyo huyu huyu mlitaka asicheze kabisa pamoja na mwenzake Mugalu! Na badala yake MK14 apewe nafasi ya kucheza!hapa bila bocco kuingizwa, hatupati goli, kagere anaruka ruka tu
Watu wasio Jua mpira mna tabu sana hivi kwani mechi ambazo PSG walifungwa Messi hakuwepo?Kwani zile match mlizofungwa na kudraw Sakho hakuwepo?
Yes mbinu zile zile, no plan B.Hili swala la kupita katikati ndo mahesababu ambayo nafikiria wamefundishwa na nani?
Kwanini unakuwa na mbinu ambazo ni costant hata pale ambapo zimekufanya ufungwe mara kibao?
Simba kila mtu kasha msoma mpira wake, wanaweza kudhani hii mechi ya leo wapinzani wao prison waluanza maandalizi juzi
Lakini ni mechi iliyoanza kufanyiwa mazoezi ya kimbinu tangu muda mrefu na hiyo ni kwasababu ya mfumo wa simba ambao ni ule ule siku zote usio badilika na ndio maana inakuwa rahisi wao kutusoma
Uyo simba mechi 3 za nyuma za ligi alipata goli hata moyaa?Najua Simba wakipata goli ndio utaufunga huu mdomo.
Aiseeee! Yale yale ya Yanga ya wakina Yikpe,Nchimbi na SarpongAingie Kibu Denis
Huo mdomo hawezi kuufunga mpaka Simba wapate goli, muache aropoke tu.Watu wasio Jua mpira mna tabu sana hivi kwani mechi ambazo PSG walifungwa Messi hakuwepo?
Huyu ni aina ya mabeki wa kizamani yaani kukaba tu. Kwenye kushambulia hamna kitu cross zake nyingi anagongesha watu , kiufupi hajafit kuwa mbadala wa kapombe.Full back ya simba hasa mwenda inatia sana mashaka
Comment sio magoliPila birian leo limedolala
Had sasa comments hata 100 badooo dah[emoji28][emoji28][emoji23]