ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Tuna hitaji mtu atakaye Dribble kama Sakho kuingia Ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda bado sana usikate tamaaHapa benchi la ufundi la Simba lijitafakari upya, yaani dakika ya 33 hakuna shoot on target wala off target huku unacheza na timu ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Hapa kazi tunayo
Huu ndio ukweli na kama tukifungwa basi tutafungwa goli la aina hiyo hiyo Muangalie huyu Mbangula na Muhilu ni hatari sana hawa watuJamani jamani niliswma hizi counter attacks ndo weakness ya simba
98% ya mechi tulizofungwa zote tumepigwa kwa style hii, simba ina dominate mpira lakini mashambulizi ya hatari yanakuwa yanatuandama sisi
Na sio kulinda tu, madogo hata kwenye kunyang'anya mipira wamekuwa imara maradufu kuliko simba, angalia shambulizi walilofanya muda huu bila dogo kupaisha ingekuwaje?Huu ndio ukweli na kama tukifungwa basi tutafungwa goli la aina hiyo hiyo Muangalie huyu Mbangula na Muhilu ni hatari sana hawa watu
Nasikiliza mpira kupitia TBC simba kabanwa sana