Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua za Utopolo hazimpati.....Kila lakheri Prisons weka jela hao mbwa makolo fc
Pablo ana miezi michache kuendelea kuwa kocha wa makolo
Tatizo ni namna ya kufungua huo ukuta hapo ona watu 9 hadi 10 wote wapo golini Kwa namna hii timu inahitaji ubunifu zaidiHapa benchi la ufundi la Simba lijitafakari upya, yaani dakika ya 33 hakuna shoot on target wala off target huku unacheza na timu ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Hapa kazi tunayo
Hahahhahahah natamani ningeona wanavotangatanga uwanjani...Utauwa watu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sakho ni Serunkuma aliechangamkaTuna hitaji mtu atakaye Dribble kama Sakho kuingia Ndani
Tena ubunifu mkubwa tu.Tatizo ni namna ya kufungua huo ukuta hapo ona watu 9 hadi 10 wote wapo golini Kwa namna hii timu inahitaji ubunifu zaidi
Hawa jamaa hawana mpango wa kumiliki mpira hivyo atoke Nyoni aingie Morrison Kisha Muzamiru arudi chini kucheza SITA Kisha Bwalya atoke aingie Mugalu tuwe na watu wawili kwenye Box itasaidia.Tuna hitaji mtu atakaye Dribble kama Sakho kuingia Ndani
Prison wanatumia sana counter attacks huyo mhilu Leo kasumbua sanaSijaelewa kwanini wachezaji wamekuwa na imani na eneo la kati kupitisha mipira yao wakati kimsingi hapo ndipo walipo wekewa uzio?
Chama alikuwa wakupiga cross eneo la juu pembeni lakini katoa pasi kwa mtu wa kati sehemu waliyo dominate zaidi prisons
Huyu kocha Siku zake zinahesabikaleo yupo matola, naona watu walipendekeza kwamba pablo ndo tatizo
Hawa jamaa hawana mpango wa kumiliki mpira hivyo atoke Nyoni aingie Morrison Kisha Muzamiru arudi chini kucheza SITA Kisha Bwalya atoke aingie Mugalu tuwe na watu wawili kwenye Box itasaidia.
Hahahahhaha sa unamaanisha nasikiliza matangazo ya Lumumba au??Umesahau Tbc kua ni chanel ya ccm?