micaely michael
Member
- Jul 31, 2015
- 85
- 9
hata ikipigwa kesho zahera alivo muoga atapak bas . anazingua kinomaMechi ingepangwa september au October, hii ingewahusu but kwa January watakuwa tayari na muuganiko mzuri
tunatamani kuwafunga Yanga ,lakini si kwa utani huu! Yanga imesajili baadhi ya wachezaji wa wazuri si wa kubeza kihivyo....mimi ni Simba wa damu,ila tusiwabeze sana wenzetu,kama kweli tunajua Soka.Ni mazishi tu safari hii hata 10 zinawahusu sana tu yaani Simba is next level.
Mkuu hao ndio mashabiki wanaozimiaga uwanja wa taifatunatamani kuwafunga Yanga ,lakini si kwa utani huu! Yanga imesajili baadhi ya wachezaji wa wazuri si wa kubeza kihivyo....mimi ni Simba wa damu,ila tusiwabeze sana wenzetu,kama kweli tunajua Soka.
Mashabiki wa Simba kakote Tanzania hatuna mentality hiyo...Mshabiki wa Simba ni mshindi mda wote hata matokeo katili ya mpira ya kitokea ila Mshabiki wa Simba huwa anaamini ushindi pekee anapokutana dhidi ya yangatunatamani kuwafunga Yanga ,lakini si kwa utani huu! Yanga imesajili baadhi ya wachezaji wa wazuri si wa kubeza kihivyo....mimi ni Simba wa damu,ila tusiwabeze sana wenzetu,kama kweli tunajua Soka.
Itakuwa maajabu kabsa kabsaUjinga ni mechi kuisha 0-0
Ni mazishi tu safari hii hata 10 zinawahusu sana tu yaani Simba is next level.
Mashabiki wa Simba kakote Tanzania hatuna mentality hiyo...Mshabiki wa Simba ni mshindi mda wote hata matokeo katili ya mpira ya kitokea ila Mshabiki wa Simba huwa anaamini ushindi pekee anapokutana dhidi ya yanga