Simba a.k.a wazee wa coaster

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Timu inayomilikiwa na Tajiri namba moja Tanzania billionaire/trillionnaire Mohammed a.k.a mudy dewji, club hicho chenye utajiri wa kutisha ambao mwanzoni wa msimuu huu waliingia mkataba na mbet wa kiasi Cha billion 26 kwa Sasa wanatumia usafiri coaster na sio ndege kama kipindi Cha nyuma
Your browser is not able to display this video.
 

Watu walisema ule mkataba wa bil 26 ni uongo, kipo wapi sasa
 
Matokeo yao Uwanjani hawapaswi panda ndege.
 
Ko hata kagera walienda na coaster??ukiwa yanga unakuwa juha automatically
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…