Simba achaneni na kocha Nabi; hafai na hawafai kwa lolote. Bora mara mia mumrudishe robertinho

Simba achaneni na kocha Nabi; hafai na hawafai kwa lolote. Bora mara mia mumrudishe robertinho

georgeallen

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
4,118
Reaction score
1,875
Nawatahadhirisha simba waachane na Nabi na Kishingo. Hawa makocha hawana jipya la kuiokoa simba kucheza relegation playoff.
 
Mkuu mambo mengine tuwe tunafanya kama watu wazima tuliokomaa.

1 . Far Rabat inaongoza ligi ya moroko.

2. Nabi anaongoza ligi ya moroko.

3. Nabi analipwa Fedha nyingi zaidi huko Morocco.

4. Nabi hawezi kuja Tanzania kuifundisha simba

-Ana mapenzi sana na yanga.
-Yupo karibu sana na viongozi wa yanga.
-

VIONGOZI WA SIMBA SI WAPUMBAVU KIASI HICHO JAPO WENGI NI WAJINGA.
 
Mkuu mambo mengine tuwe tunafanya kama watu wazima tuliokomaa.

1 . Far Rabat inaongoza ligi ya moroko.

2. Nabi anaongoza ligi ya moroko.

3. Nabi analipwa Fedha nyingi zaidi huko Morocco.

4. Nabi hawezi kuja Tanzania kuifundisha simba

-Ana mapenzi sana na yanga.
-Yupo karibu sana na viongozi wa yanga.
-

VIONGOZI WA SIMBA SI WAPUMBAVU KIASI HICHO JAPO WENGI NI WAJINGA.

Tulia mzee wa mwiko
 
Back
Top Bottom