Mkuu mambo mengine tuwe tunafanya kama watu wazima tuliokomaa.
1 . Far Rabat inaongoza ligi ya moroko.
2. Nabi anaongoza ligi ya moroko.
3. Nabi analipwa Fedha nyingi zaidi huko Morocco.
4. Nabi hawezi kuja Tanzania kuifundisha simba
-Ana mapenzi sana na yanga.
-Yupo karibu sana na viongozi wa yanga.
-
VIONGOZI WA SIMBA SI WAPUMBAVU KIASI HICHO JAPO WENGI NI WAJINGA.