Simba achaneni na mapinduzi cup tengenezeni timu

Simba achaneni na mapinduzi cup tengenezeni timu

rodrick alexander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
16,784
Reaction score
23,312
Kwa mtu yeyote aliyeifatilia Simba atagundua timu haipo sawa kuanzia kiuchezaji Hadi kujituma kwa wachezaji.

Pamoja na kuufurahia kuwafunga Wydad lakini timu imepoteza uelekeo, Kila mchezaji anacheza kivyakevyake matokeo timu inakosa magoli ya wazi na kufungiwa magoli ya.kizembe.

Wakati huu wa mapumziko y no wakati wa kufanya usajili kwenye sehemu zenye. Mapungufu na kutengeneza timu, mashindano ya mapinduzihayaipeleki timu sehemu yoyote. Wala hakuna zawadi za maana na hata Simba wakitwaa Hilo kombe hawapati chochote.
 
Kwa mtu yeyote aliyeifatilia Simba atagundua timu haipo sawa kuanzia kiuchezaji Hadi kujituma kwa wachezaji. Pamoja na kuufurahia kuwafunga Wydad lakini timu imepoteza uelekeo, Kila mchezaji anacheza kivyakevyake matokeo timu inakosa magoli ya wazi na kufungiwa magoli ya.kizembe. wakati huu wa mapumziko y no wakati wa kufanya usajili kwenye sehemu zenye.mapungufu na kutengeneza timu, mashindano ya mapinduzihayaipeleki timu sehemu yoyote. Wala hakuna zawadi za maana na hata Simba wakitwaa Hilo kombe hawapati chochote.
Si mlishawaomba msamaha wachezaji? Nini tena mnataka?
 
Kwa mtu yeyote aliyeifatilia Simba atagundua timu haipo sawa kuanzia kiuchezaji Hadi kujituma kwa wachezaji. Pamoja na kuufurahia kuwafunga Wydad lakini timu imepoteza uelekeo, Kila mchezaji anacheza kivyakevyake matokeo timu inakosa magoli ya wazi na kufungiwa magoli ya.kizembe. wakati huu wa mapumziko y no wakati wa kufanya usajili kwenye sehemu zenye.mapungufu na kutengeneza timu, mashindano ya mapinduzihayaipeleki timu sehemu yoyote. Wala hakuna zawadi za maana na hata Simba wakitwaa Hilo kombe hawapati chochote.
Kuna nyuzi humu na comments mbalimbali za mashabiki wa Simba wakisifia kocha na wachezaji kuwa wamebadilika mno kiuchezaji na kusema wanaona mwelekeo mzuri hasa baada ya mechi ya Galaxy, mechi mbili na Wydad na ile ya Kagera.
 
Sasa timu aiwezi ikatengenezwa chumbani utapimaje wachezaji bila ya mechii Aya mashindano ni mazuri Kwa Simba kurekebisha makosa Yao kupitia kucheza
 
Back
Top Bottom