Kusema kweli kwa sasa timu haina washauri ma genius wa mpira.
Ni naona watu hawana mwelekeo,wanaenda Nigeria kusajili wakati si rahisi kupata mchezaji wa viwango vya juu kwa sasa kama huna hela.
Tuambieni ukweli kama Mo ameishiwa,timu apewe Mzee Bakhresa.Siyo timu inampa mwanamke nguvu ya maamuzi halafu anatuletea maamuzi ya kike na misimamo ya kijinga
Hii ni timu ya Mpira,sasa ukikosana na wachezaji wazuri halafu huna pesa ya kuvunja mikataba unasubiri utopolo waache mchezaji tena mwenye mapenzi hasa na timu yake,unatarajia nini?
Acheni utapeli eti usajili utashtua bara wakati wachezaji wazuri wanajulikana na huwezi kuwasajili kwa siri.
Ni naona watu hawana mwelekeo,wanaenda Nigeria kusajili wakati si rahisi kupata mchezaji wa viwango vya juu kwa sasa kama huna hela.
Tuambieni ukweli kama Mo ameishiwa,timu apewe Mzee Bakhresa.Siyo timu inampa mwanamke nguvu ya maamuzi halafu anatuletea maamuzi ya kike na misimamo ya kijinga
Hii ni timu ya Mpira,sasa ukikosana na wachezaji wazuri halafu huna pesa ya kuvunja mikataba unasubiri utopolo waache mchezaji tena mwenye mapenzi hasa na timu yake,unatarajia nini?
Acheni utapeli eti usajili utashtua bara wakati wachezaji wazuri wanajulikana na huwezi kuwasajili kwa siri.