Simba aibu tupu, refa atoa red card kwa kuamriwa na mchezaji Mugalu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Soka letu lina safari ndefu, simba ina hali nguvu sana. Ni kweli mchezaji kafanya makosa lakini waamuzi wote hawakuona, refa alipata wapi uwamuzi wa kutoa kadi nyekundu?

Ametoa kadi kwa kushauriwa na mchezaji ambae ni mnufaika na adhabu ile. Je, hii ni sahihi?
 
Hatari wakikamia saana
sasa biashara iliyo struggle nauli kwenda Djibout, iliyo qualify kucheza round one ya CAF haikupewa hata cent moja leo wanapewa milioni 10 eti pongezi ya sare kwa simba,leo wamepigwa sasa na Ruvu shooting
Amini usiamini hizo hela za Gsm wakuu wa mikoa washabiki wa UTOPWINYO kama wa mara, na kina mavunde ndiyo utaona wanaahidi ....hopeless fools
 
Kama ninkweli wanafanya hivyo..? Acha waharibu pesa na timu zao zaidi
 
Ni kweli safari ni ndefu ndio maana tulifungwa na river united ila Simba kimataifa na ligi kuu misimu minne mfululizo yupo juu
 
Wanafungwa dodoma jiji. Mnateseka utopolo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasikia mna gawa njugu kuwa.hamasisha vijana wa mikoani waifunge simba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna marefu yasiyokuwa na ncha mashine ya mabao imefunguliwa rasmi sasa mkae mkijua balaa limeanza na litakua noma saana
 
Mugalu ndie anasema mpe yule red card
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…