smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
Soka letu lina safari ndefu, simba ina hali nguvu sana. Ni kweli mchezaji kafanya makosa lakini waamuzi wote hawakuona, refa alipata wapi uwamuzi wa kutoa kadi nyekundu?
Ametoa kadi kwa kushauriwa na mchezaji ambae ni mnufaika na adhabu ile. Je, hii ni sahihi?
ndio ujue kuwa simba ni timu kubwa. utopolo wahed