Tetesi: Simba akikosa nyama hula nyasi

Tetesi: Simba akikosa nyama hula nyasi

hewamkaa

Member
Joined
Mar 30, 2023
Posts
85
Reaction score
127
Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote.

Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh, Faisal ni mkali kuliko Ki, mara oh Azam ni bora Yanga ndondocha. Wakati huo Azam wametulia tuli, wakiacha ikiwapigia promo. Haya mambo bwana, we acha tu
 
Simba wasipoiongelea Yanga wanakuwa kama huyu
 

Attachments

  • Screenshot_20240528-184649.jpg
    Screenshot_20240528-184649.jpg
    336.9 KB · Views: 3
Vijana Simba na Yanga zitawapa mimba😂, mko serious sana na hizi timu kuliko hata maisha yenu.

Umeandika kwa uchungu kabisa na kueleweka ni ngumu.
Hongera lakini
 
Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote.

Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh, Faisal ni mkali kuliko Ki, mara oh Azam ni bora Yanga ndondocha. Wakati huo Azam wametulia tuli, wakiacha ikiwapigia promo. Haya mambo bwana, we acha tu
Unajua kuwa kuna mkataba umesainiwa korea wiki hii?
 
Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote.

Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh, Faisal ni mkali kuliko Ki, mara oh Azam ni bora Yanga ndondocha. Wakati huo Azam wametulia tuli, wakiacha ikiwapigia promo. Haya mambo bwana, we acha tu
Ulichokiandika hata hakieleweki, inaonekana una hasira sana sasa umekuja kujificha kwenye mambo ya Simba na Yanga
 
Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote.

Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh, Faisal ni mkali kuliko Ki, mara oh Azam ni bora Yanga ndondocha. Wakati huo Azam wametulia tuli, wakiacha ikiwapigia promo. Haya mambo bwana, we acha tu
Umeandika huu ujinga ukiwa south Korea we mpuuzi. Rudi nyumbani una kesi ya kujibu huku.
 
Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote.

Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh, Faisal ni mkali kuliko Ki, mara oh Azam ni bora Yanga ndondocha. Wakati huo Azam wametulia tuli, wakiacha ikiwapigia promo. Haya mambo bwana, we acha tu
Ngoja yanga wamchukue benchika
 
Back
Top Bottom