asisahau na lishe bora piaTataizo la kulala bila kula,akili zina yumba jitahidi uwe unakula rishe bora.
Alishoboka mechi ya Singida vs Simba nikamwambia hiyo ahadi aliyoiweka kama Simba angeshinda mimi siitaki, ila aandae tako. Cha ajabu hajatimiza ombi langu.Napendekeza badala ya kupigwa ban upigwe miti itapendeza zaidi
Nadhani imeeleweka mkuu[emoji23][emoji23]Simba akishinda nipegwe ban mpaka tarehe 1/1/2024
Maxence Melo na uongozi wako zingatia hili tafadhali bila kusita.
Kila la heri mtani ila huchomoki na ushindi nyumbani.
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.
Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.
Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.
NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.
View attachment 2786239
Ilo limeisha mkuu kazi imebaki kwao 😅Nadhani imeeleweka mkuu[emoji23][emoji23]
uko sahihi Mkuu Kolo kushinda ni ngumu sanaMechi ya Singida Fountain vs Simba wewe Labani og ulisema kitu kinachofanana na hiki, nikakwambia Simba lazima ashinde wewe andaa tako tu.
Nasikitika kwamba bado hujatoa tako hadi leo. Au sisi mashabiki wa Simba hatupaswi kukuomba kitu kingine zaidi ya hiyo uliyojiombea ya kupigwa ban?
Simba siyo sawa na nyie vyura. Level yetu ni kubwa sana.uko sahihi Mkuu Kolo kushinda ni ngumu sana
NdioVp unaamini kolo atashinda??