Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

1674412603260.jpg
 
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.

Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.

Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.

NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.

View attachment 2786239
FB_IMG_1697704408869.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya Singida Fountain vs Simba wewe Labani og ulisema kitu kinachofanana na hiki, nikakwambia Simba lazima ashinde wewe andaa tako tu.

Nasikitika kwamba bado hujatoa tako hadi leo. Au sisi mashabiki wa Simba hatupaswi kukuomba kitu kingine zaidi ya hiyo uliyojiombea ya kupigwa ban?
uko sahihi Mkuu Kolo kushinda ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom