Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Management ya jf hawako kwa ajili ya watu wenye akili za kitopolo. Hata SSC akifungwa utaendelea na kulalamika kwamba marefa wanapendelea hakuna wa kukupa ban.
 
Hii picha ilipigwa kwenye tanuru la moto![emoji1787][emoji1787]
 
Management ya jf hawako kwa ajili ya watu wenye akili za kitopolo. Hata SSC akifungwa utaendelea na kulalamika kwamba marefa wanapendelea hakuna wa kukupa ban.
Kumbe unaelewa .....Simba atapigwa [emoji23][emoji23]
 
Kiswahili kuandika hujui unajaribu kuandika kiingereza. Hujui kutumia maneno ya kiingereza ipasavyo.Makosa mengi katika sentence construction.
Tukirudi kwenye mada huwa unaahidi halafu hutimizi.Kuna kitu uliaahidi kutoa Singida akifungwa amefungwa umekaa kimya. Wacha kutoa ahadi za kibwege.Kosa langu kumbe mtu mwenyewe bwege.
 
Kwa hiyo wewe ni yupi hapo kwenye hiyo picha mliyopiga kibanda umiza?
 
Mtu wa kumla tako huyu jamaa tumkabidhi akanyambasira Na mzabzab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…