Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ni mbabe Kwa waarabu wa coastal......ila sio waarabu weupeKwakweli watani kesho wanamechi ngumu sana ila tunawaombea ushindi wakufungwa goli chache.
Kiuzalendo tuwaombee washinde sema tatizo unakutana na Ahly Knockout stage hakuna option nyingine ila kufungwa tu!
ila naskia SIMBA wanarekodi za kuwafunga na kuwaondoa mabingwa.
Wewe utakuwa ni james delishaz. Ukilala ukiamka SimbaMimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days.
Kwa mliokimbia umande,
Kama Simba atashinda kesho, au. tafunga hata off-side goal basi nipigwe ban kwa siku 3, pia ban yangu isindikizwe na ndugu yangu wa damu Kalpana.
Lengo la kufanya hivi ni kuhakikisha kuwapa moyo makolo washinde kwa njia yeyote japo najua makolo hawawezi kushinda.
NB: Kama unataka kumbetia kolo basi hiyo pesa nunua sabuni then pigia puri.
View attachment 2786239
Mkuu mapipa ya nini tena? au ndo figisu za waarab!!
Hauna effect yoyote hapa jf na hakuna tofauti itakayoonekana kama ukipigwa ban au hautapigwa ban!! It makes no difference!! Wala hatutagundua kama haupo au kinyume chake!! Ungekuwa na status kama ya Mshana Jr hapo sawa!!Simba akishinda nipegwe ban mpaka tarehe 1/1/2024
Maxence Melo na uongozi wako zingatia hili tafadhali bila kusita.
Kila la heri mtani ila huchomoki na ushindi nyumbani.
Mabipa hayo ni kwa ajili ya kuwatembezea kichapo kitakatifu pale kwa Nkapa Atoki Ntu kesho Jumaa baada ya swala ya alasiriMkuu mapipa ya nini tena? au ndo figisu za waarab!!
Upigwe ban usipigwe ban hakuna tofauti yoyote!! Tofauti hutokea tu kwa watu wenye status kubwa!! wewe bado sana!! Ukiwepo hakuna anayegundua kuwa upo na usipokuwepo hakuna anayegundua kuwa haupo!!Tuwaombee mkuu....wakandwe zakutosha
Mkishachezea goli kadhaa tukutane kwenye viti virefu wengine naona hata uwanjani wamegairi kwendaKuna wenzako waligongewa wake zao kwa ujinga ujinga kama huu wakusema.
Mzaha mzaha mbuzi alimpanda mama yake.
Hayo uliyoyasema sidhan kama yanahusiana na nilichokisemaHauna effect yoyote hapa jf na hakuna tofauti itakayoonekana kama ukipigwa ban au hautapigwa ban!! It makes no difference!! Wala hatutagundua kama haupo au kinyume chake!! Ungekuwa na status kama ya Mshana Jr hapo sawa!!
Labda washinde njaa, kwa kikosi kile naangalia marudio dakika ya 77 tayari wapo nyuma goli 3
Wydad kwa mkapaKolo hana historia ya kufunga mwarabu
Tunajua ile ID yako nyingineSimba akishinda nipigwe ban mpaka tarehe 1/1/2024
Maxence Melo na uongozi wako zingatia hili tafadhali bila kusita.
Kila la heri mtani ila huchomoki na ushindi nyumbani.
Ipi hiyo?Tunajua ile ID yako nyingine
[emoji419][emoji375][emoji419][emoji375][emoji419][emoji375][emoji419][emoji375]