Simba akishinda nipigwe ban hapa JF

Simba ni mbabe Kwa waarabu wa coastal......ila sio waarabu weupe
 
Wewe utakuwa ni james delishaz. Ukilala ukiamka Simba
 
Kuna wenzako waligongewa wake zao kwa ujinga ujinga kama huu wakusema.
Mzaha mzaha mbuzi alimpanda mama yake.
 
Simba akishinda nipegwe ban mpaka tarehe 1/1/2024
Maxence Melo na uongozi wako zingatia hili tafadhali bila kusita.

Kila la heri mtani ila huchomoki na ushindi nyumbani.
Hauna effect yoyote hapa jf na hakuna tofauti itakayoonekana kama ukipigwa ban au hautapigwa ban!! It makes no difference!! Wala hatutagundua kama haupo au kinyume chake!! Ungekuwa na status kama ya Mshana Jr hapo sawa!!
 
Tuwaombee mkuu....wakandwe zakutosha
Upigwe ban usipigwe ban hakuna tofauti yoyote!! Tofauti hutokea tu kwa watu wenye status kubwa!! wewe bado sana!! Ukiwepo hakuna anayegundua kuwa upo na usipokuwepo hakuna anayegundua kuwa haupo!!
 
Hauna effect yoyote hapa jf na hakuna tofauti itakayoonekana kama ukipigwa ban au hautapigwa ban!! It makes no difference!! Wala hatutagundua kama haupo au kinyume chake!! Ungekuwa na status kama ya Mshana Jr hapo sawa!!
Hayo uliyoyasema sidhan kama yanahusiana na nilichokisema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…