Simba akishinda nipigwe ban ya siku 3. Leo hata draw hawapati, ni kipigo watake wasitake

Simba akishinda nipigwe ban ya siku 3. Leo hata draw hawapati, ni kipigo watake wasitake

Mchezo umeshaisha.... Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Umezungumzia kushindwa halafu kutoa Sare hujaweka wazi. Sema kwa kunyooka ili upigwe ban wakishinda au wakitoa sare. Pia ongezea Ile ahadi nyingine ya Yas
 
IMG_20241231_164052_104.jpg
 
Back
Top Bottom