Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HTMchezo umeshaisha.... Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Maxence Melo is watchingNamimi najiongeza hapo kama kifungashio simba ikipata ushindi leo nipigwe ban siku 7 naomba moderetor muheshimu maamuzi yangu
Kwa taarifa tu jamaa anaongozaMchezo umeshaisha.... Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Sasa nikipigwa ban wewe itakusaidia nnMaxence Melo is watching
kupunguza idadi ya mikia uwanjaniSasa nikipigwa ban wewe itakusaidia nn
Hivi wewe kwa nini unatoa ahadi mapema hivi kama yule Shetani wa Yanga?Mchezo umeshaisha.... Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Afya ya akiliMchezo umeshaisha.... Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Vipi mkuu.Ban bado?Mchezo umeshaisha.... Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Yaani moment nakuwa mkia sijui wewe utakuwa takataka ya namna gani najaribu tu kufikirikupunguza idadi ya mikia uwanjani
Dakika ya 90Mchezo umeshaisha.... Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Mods naomba mnisamehe haya maisha tu.Moderator kwa heshima na taadhima na Mimi naomba ban Unyamer ya siku 3 kama Kolo akishinda.