kachwankizi
Member
- Sep 9, 2024
- 41
- 81
Mpiga ban ukuje huku.Mchezo umeshaisha. Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpiga ban ukuje huku.Mchezo umeshaisha. Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Umekula ban Wasalimie hapo kwa Obedi na kwa ile pisi Mkaanga Kambale nyuma ya beria teh tehMchezo umeshaisha. Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
😃😃Kumbe haya mambo huwa ni kweli, kwamba ukiomba unapewa hiyo bani😅😅😅
Vp kuhusu komeo la chuma kapona?Laban og awamu hii amepaona. Hakuomba chochote.
Isije ikawa huyu mijingu ndio laban og.
Wehu hawa walienda Lubumbashi wakapigwa vidol.Pigaaa ban huyu zumbukuku....
Kautaka kaukalia sasa anafurahia.Dah!!! Mtoto kautaka......
Tayari kashaangukiwa ukuta hakuna namnaMods namuombea msamaha huyu ndugu yetu
Hakujua alisemalo
Nasubiri utoke kifungoni upigweMchezo umeshaisha. Simba akishinda leo nipigwe
Mapema mtu kala ban🤣Mchezo umeshaisha. Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.