Simba ana kikosi cha kawaida mno kwa Azam

Simba ana kikosi cha kawaida mno kwa Azam

Ulishawahi kuanguka chooni ukiwa mdogo? Tusije kubishana na wewe kumbe kichwani kipa katoka
 
Iwapo Azam Fc itacheza mchezo kama ule iliyocheza na Yanga, basi kuna kila dalili simba atafungwa!

Mbaya zaidi kwa sasa timu ipo chini ya kocha wa muda Kalimangonga Ongala! Huyu jamaa siyo mzuri hata kidogo ukimpa kazi ya ukocha mkuu wa muda kwenye timu.

Maana ana hamasa ya kipekee.
Teh teh teheeeeeeeeeeee
Tunza uo ushuzi nikuoneshe kitu
Jifunze kuandika kwanza
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]

Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.

Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.

Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.

GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Sawa,haya kanywe maji baridi utulie.
 
Mtu na dada yake hao,na kama kawaida dada mtu atapewa point3,kama sio huo undugu basi mikia mapema sana wangekufa
Huyo muanzisha thread ni mkoa, sijui kaona kipigo kinawanyemelea kaamua ajifiche kwenye chaka la azam
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]

Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.

Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.

Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.

GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Mechi leo saa ngapi simba vs azam
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]

Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.

Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.

Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.

GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Ushabiki kazi Sana ndugu zangu,,, yaani Simba ipambane na miamba wa Africa ije ishindwe Azam .

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]

Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.

Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.

Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.

GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Kama kawaida msituangushe leo
 
Kama kawaida msituangushe leo
Team bora bidhaa bora
IMG_20221027_164955.jpg
 
Back
Top Bottom