See For Me
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 479
- 1,495
Mwisho wa Ice cream ni kuyayuka tu[emoji23]..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kmc na prison matokeo ulipata kirahisi?
We ulionaje?Wewe kmc na prison matokeo ulipata kirahisi?
Wewe kmc na prison matokeo ulipata kirahisi?
We ulionaje?Wewe kmc na prison matokeo ulipata kirahisi?
Teh teh teheeeeeeeeeeeeIwapo Azam Fc itacheza mchezo kama ule iliyocheza na Yanga, basi kuna kila dalili simba atafungwa!
Mbaya zaidi kwa sasa timu ipo chini ya kocha wa muda Kalimangonga Ongala! Huyu jamaa siyo mzuri hata kidogo ukimpa kazi ya ukocha mkuu wa muda kwenye timu.
Maana ana hamasa ya kipekee.
Jifunze kuandika kwanzaTunza uo ushuzi nikuoneshe kitu
Mtoto wa kiume unaandikaje "shost ake" inaonekana wahuni wanakufanya punyeto yaoKauli za kishoga kutoka kwa shost ake na mama.
Sawa,haya kanywe maji baridi utulie.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]
Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.
Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.
Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.
GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Huyo muanzisha thread ni mkoa, sijui kaona kipigo kinawanyemelea kaamua ajifiche kwenye chaka la azamMtu na dada yake hao,na kama kawaida dada mtu atapewa point3,kama sio huo undugu basi mikia mapema sana wangekufa
Mechi leo saa ngapi simba vs azamKama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]
Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.
Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.
Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.
GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Ushabiki kazi Sana ndugu zangu,,, yaani Simba ipambane na miamba wa Africa ije ishindwe Azam .Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]
Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.
Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.
Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.
GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Tukutane saa 1:00 Usiku wa leo ila leo ndio leoTukutane saa moja juu ya alama usiku
Saa 1:00 UsikuMechi leo saa ngapi simba vs azam
Kama kawaida msituangushe leoKama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]
Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.
Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.
Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.
GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069