Simba ana ubingwa upi mpaka kushiriki CAFCL?

Simba ana ubingwa upi mpaka kushiriki CAFCL?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Hii nadharia ya kuwasema Wanaoshiriki Shirikisho ni waliofeli sio sahihi, hii ni kujificha kwenye kivuli Cha kufeli Kwa Magungu.

Kuna michuano wanaita CAF champions League, yaani michuano ya Mabingwa , Sasa kama ndo hivo basi Simba hakupaswa kushiriki Ligi hiyo kwakuwa Huyu Simba si bingwa wa michuano yoyote lakini ameenda kushiriki Ligi ya Mabingwa, ni uhuni tu umetumika, Simba anashirikije Ligi ya Mabingwa wakati yeye sio bingwa.

MANGUNGU AJIUZULU
 
Hii nadharia ya kuwasema Wanaoshiriki Shirikisho ni waliofeli sio sahihi, hii ni kujificha kwenye kivuli Cha kufeli Kwa Magungu.

Kuna michuano wanaita CAF champions League, yaani michuano ya Mabingwa , Sasa kama ndo hivo basi Simba hakupaswa kushiriki Ligi hiyo kwakuwa Huyu Simba si bingwa wa michuano yoyote lakini ameenda kushiriki Ligi ya Mabingwa, ni uhuni tu umetumika, Simba anashirikije Ligi ya Mabingwa wakati yeye sio bingwa.

MANGUNGU AJIUZULU
Wapumzisheni Watani zetu Makolokolo jamani, msijefanya tukakosa kombe la CAFCCL kwa dua zao mbaya juu yetu Utopolo.
 
waache simba washiriki!!! hiyo nafasi waliitengeneza wenyewe baada ya kukusanya points nyingi caf na kuiwezesha timu nne kutoka Tanzania kuingia moja kwa moja kwenye mashindano
Basi iitwe Ligi ya points Africa, sio Ligi ya mabingwa
 
Hii nadharia ya kuwasema Wanaoshiriki Shirikisho ni waliofeli sio sahihi, hii ni kujificha kwenye kivuli Cha kufeli Kwa Magungu.

Kuna michuano wanaita CAF champions League, yaani michuano ya Mabingwa , Sasa kama ndo hivo basi Simba hakupaswa kushiriki Ligi hiyo kwakuwa Huyu Simba si bingwa wa michuano yoyote lakini ameenda kushiriki Ligi ya Mabingwa, ni uhuni tu umetumika, Simba anashirikije Ligi ya Mabingwa wakati yeye sio bingwa.

MANGUNGU AJIUZULU
Tatizo lenu tunalijua.Mnaigiza mna furaha lakini ukweli mkikaa mkatulia mnawaza kikombe mnachoshiriki ni cha luzaz,lakini pia katika ligi tumekuosha viwili saafi.
Na sasa kwenye ngao ya jamii utatukuta,ukipata sare,niko paleee!
 
Kwa mwaka wa pili sasa simba inashiriki Klabu Bingwa Afrika kupitia nafasi ya Viti maalum.

Ni Yanga pekee ndiyo inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika kihalali, kutokana na kuwa Bingwa wa ligi kuu nchini.
 
Back
Top Bottom