Simba anavaa chapa ya chaos Ghalib Said Mohamed (GSM)

Simba anavaa chapa ya chaos Ghalib Said Mohamed (GSM)

Song of Solomon

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
2,752
Reaction score
5,609
[emoji1593]"Kupitiwa haijawahi kuwa dhambi Wala kusahau haijawahi kuwa dhambi ".

Viongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu /wao na timu nyingine.

[emoji1593]12 July 2021 mzee kashembe aliweka wazi madudu tenda ya jezi na vunja bei /barba walihusika na tenda kufanyika kienyeji alisema kishemba "mnakumbuka ??tafuta mahojiano yake utajua kama hujui.

[emoji1593]Rejea 4 January ,2021 ilitaja vigezo vya kutaka mdhamini wa kutengeza jezi. Ni nani aliyeshinda kihalali tenda ya jezi ??
Anta sport ndio aliyeshinda tenda ya udhamini wa kutengeneza jezi za Simba kihalali kabisa viongozi wote wa Simba wanajua ila alinyimwa kwa sababu anayemiliki ni GHALIB SAID MOHAMED (GSM ).

[emoji1593]20 April 2021 BARBA GONZALEZ alitangaza ameshinda tenda ya kutengeneza jezi ni fredy vunja bei .......sasa pata utamu kwa nini GSM aliingia na kutengeneza jezi za Simba .

[emoji1593]picha linaanza fredy hakuwa hana pesa ya tenda aliyopewa sasa akaamua kumfuata the Sunderland one...,...."Akamwambia nimeshinda nitapata wapi pesa ya kulipa ??nipe sub contract nitengeneze jezi na wewe utakuwa supply tu .

[emoji1593]Sunderland akamfuata GSM amkopeshe pesa bilioni 2 .2 bila riba Hili ampe fredy Ila alipewa masharti mawili

Mosi ,jezi atengeneze yeye GSM kutoka kwenye kiwanda chake kilichopo Turkish

Pili ,bandarini mzigo atoe yeye kupitia kampuni yake na kusupply jezi .

Haya yote yalifanywa nyuma ya pazia na Sunderland na fredy anajua kabisa ,wangapi wanakumbuka jezi za Simba zilizovyokuwa na rebo ya GSM na yanga ? Jibu ni rahisi aliyetengeneza ni GSM ndio maana mpaka Leo hakuna kesi.

[emoji1593]Najua wengi hawajui Yale maghorofa pale kariakoo aliyopangishwa Sunderland ni ya GHALIB (GSM) tena amewakodisha Hadi viongozi wa Simba pale ukibisha nawataja Hadi namba ya chumba.

[emoji1593]fredy alivyojua ukweli pakatokea bifu na Sunderland akimlalamikia sub contract wake ,hakujua zile pesa bilioni 2.2 zilitoka kwa GSM .wafanyabiashara wote kariakoo wanajua kuwa zile pesa alitoa na nani , fredy akaambiwa ukweli akabaki hoi!!hoi! Akamkasirikia Sunderland wiki mbili bila kuongea ,alichofanya Sunderland mzigo ukazuiwa bandarini kama wiki mbili bila kusambazwa mzigo sokoni ukawa haupo kabisa ,hatimaye fredy akaenda kumpigia magoti Sunderland .

[emoji1593]Nenda kwenye akaunti ya vunja alisusa kuisapoti bidhaa za Sunderland Ila wiki iliyoisha ndio kapost kavideo kakionesha kuwa mzigo unapatikana Sunderland kujiridhisha nenda kwenye account yake ya Instagram

[emoji1593]Mpaka Leo hii hakuna mwanasimba yeyote anayejua jezi zinazalishwa wapi na kiwanda gani hata fredy Hajui hata Sunderland hajui Ila GHALIB SAID MOHAMED tu .

[emoji1593]mtu yeyote anayejua jezi za Simba zinatengenezwa kiwanda gani aje na ushahidi nikatwe mkono hadharani ...pia ujue jezi za Simba hata vile visheti kwenye jezi ni kama za yanga msimu uliopita ,pia angalia matundu ya pembeni ya jezi ni kama vile za yanga kabisa ushahidi chukua fananisha utajua ninachosema.

[emoji1593]
Mambo mengi najua mashabiki hawajui kuhusu vilabu vyao umemnyima Huku kapitia kwingine kupata pesa GSM [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460].

MTAJUA KAMA HAMJUI
 
[emoji1593]"Kupitiwa haijawahi kuwa dhambi Wala kusahau haijawahi kuwa dhambi ".

Viongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu /wao na timu nyingine.

[emoji1593]12 July 2021 mzee kashembe aliweka wazi madudu tenda ya jezi na vunja bei /barba walihusika na tenda kufanyika kienyeji alisema kishemba "mnakumbuka ??tafuta mahojiano yake utajua kama hujui.

[emoji1593]Rejea 4 January ,2021 ilitaja vigezo vya kutaka mdhamini wa kutengeza jezi. Ni nani aliyeshinda kihalali tenda ya jezi ??
Anta sport ndio aliyeshinda tenda ya udhamini wa kutengeneza jezi za Simba kihalali kabisa viongozi wote wa Simba wanajua ila alinyimwa kwa sababu anayemiliki ni GHALIB SAID MOHAMED (GSM ).

[emoji1593]20 April 2021 BARBA GONZALEZ alitangaza ameshinda tenda ya kutengeneza jezi ni fredy vunja bei .......sasa pata utamu kwa nini GSM aliingia na kutengeneza jezi za Simba .

[emoji1593]picha linaanza fredy hakuwa hana pesa ya tenda aliyopewa sasa akaamua kumfuata the Sunderland one...,...."Akamwambia nimeshinda nitapata wapi pesa ya kulipa ??nipe sub contract nitengeneze jezi na wewe utakuwa supply tu .

[emoji1593]Sunderland akamfuata GSM amkopeshe pesa bilioni 2 .2 bila riba Hili ampe fredy Ila alipewa masharti mawili

Mosi ,jezi atengeneze yeye GSM kutoka kwenye kiwanda chake kilichopo Turkish

Pili ,bandarini mzigo atoe yeye kupitia kampuni yake na kusupply jezi .

Haya yote yalifanywa nyuma ya pazia na Sunderland na fredy anajua kabisa ,wangapi wanakumbuka jezi za Simba zilizovyokuwa na rebo ya GSM na yanga ? Jibu ni rahisi aliyetengeneza ni GSM ndio maana mpaka Leo hakuna kesi.

[emoji1593]Najua wengi hawajui Yale maghorofa pale kariakoo aliyopangishwa Sunderland ni ya GHALIB (GSM) tena amewakodisha Hadi viongozi wa Simba pale ukibisha nawataja Hadi namba ya chumba.

[emoji1593]fredy alivyojua ukweli pakatokea bifu na Sunderland akimlalamikia sub contract wake ,hakujua zile pesa bilioni 2.2 zilitoka kwa GSM .wafanyabiashara wote kariakoo wanajua kuwa zile pesa alitoa na nani , fredy akaambiwa ukweli akabaki hoi!!hoi! Akamkasirikia Sunderland wiki mbili bila kuongea ,alichofanya Sunderland mzigo ukazuiwa bandarini kama wiki mbili bila kusambazwa mzigo sokoni ukawa haupo kabisa ,hatimaye fredy akaenda kumpigia magoti Sunderland .

[emoji1593]Nenda kwenye akaunti ya vunja alisusa kuisapoti bidhaa za Sunderland Ila wiki iliyoisha ndio kapost kavideo kakionesha kuwa mzigo unapatikana Sunderland kujiridhisha nenda kwenye account yake ya Instagram

[emoji1593]Mpaka Leo hii hakuna mwanasimba yeyote anayejua jezi zinazalishwa wapi na kiwanda gani hata fredy Hajui hata Sunderland hajui Ila GHALIB SAID MOHAMED tu .

[emoji1593]mtu yeyote anayejua jezi za Simba zinatengenezwa kiwanda gani
aje na ushahidi nikatwe mkono hadharani ...pia ujue jezi za Simba hata vile visheti kwenye jezi ni kama za yanga msimu uliopita ,pia angalia matundu ya pembeni ya jezi ni kama vile za yanga kabisa ushahidi chukua fananisha utajua ninachosema.

[emoji1593]
Mambo mengi najua mashabiki hawajui kuhusu vilabu vyao umemnyima Huku kapitia kwingine kupata pesa GSM [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460].

MTAJUA KAMA HAMJUI
Non-sense
 
GSM anailetea shobo simba kwasababu inafanya vizuri, anajua ni rahisi kutangaza brand yake kwa jina la simba kuliko timu yeyote hapa bongo

Yanga haina impact yeyote katika kukuza brand na ndio maana juzi kati hersi mwenyewe alikiri kua yanga inaendeshwa kwa hasara kama ATCL tu
 
Nauliza tuu ili kuupima ujinga wako, kwani sisi mashabiki na wanachama wa simba tuna ugomvi na gsm? Mbona umeandika kama kuna tension ya vita kuu ya nne ya dunia.

Sikia ww chawa, mm nimenunua uzi wa simba toleo hili kwa sababu ni jezi nzuri bhaaas. Hata zingetengenezwa na lucifa ningenunua bila kuhoji.
 
GSM anailetea shobo simba kwasababu inafanya vizuri, anajua ni rahisi kutangaza brand yake kwa jina la simba kuliko timu yeyote hapa bongo

Yanga haina impact yeyote katika kukuza brand na ndio maana juzi kati hersi mwenyewe alikiri kua yanga inaendeshwa kwa hasara kama ATCL tu
Ukweli mchungu huu
 
Sawa Manara...
Haya Twambie pia, huyo huyo GSM ndie kampa RICK ROSS Connection ya MOBETTO ili kumkomoa VUNJABEI. Tiririka mkuuu ili tujue unajua zaidi mkuu
Povu la nini sasa?
 
GSM anailetea shobo simba kwasababu inafanya vizuri, anajua ni rahisi kutangaza brand yake kwa jina la simba kuliko timu yeyote hapa bongo

Yanga haina impact yeyote katika kukuza brand na ndio maana juzi kati hersi mwenyewe alikiri kua yanga inaendeshwa kwa hasara kama ATCL tu
Kolo mbona umeandika kwa uchungu sana!
 
Anasikia rahaaaa kushikwa manyonyo
JamiiForums-1748518016.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sawa Manara...
Haya Twambie pia, huyo huyo GSM ndie kampa RICK ROSS Connection ya MOBETTO ili kumkomoa VUNJABEI. Tiririka mkuuu ili tujue unajua zaidi mkuu
Haa
Tanzania Nchi Ngumu
 
GSM anailetea shobo simba kwasababu inafanya vizuri, anajua ni rahisi kutangaza brand yake kwa jina la simba kuliko timu yeyote hapa bongo

Yanga haina impact yeyote katika kukuza brand na ndio maana juzi kati hersi mwenyewe alikiri kua yanga inaendeshwa kwa hasara kama ATCL tu
Lini Mo aliwahi sema Simba inajiendesha kifaida,zaidi ya kumtia hasara tu.
 
Wewe utopolo usitushushe sisi Simba ugomvi na vifitina vya kijinga kama rangi ya nembo,sijui nembo ya nani hivi ni level za utopolo.
Simba ni club ya mpira lengo letu kufanya vizuri uwanjani na sio vitu vya kijinga kijinga kama hivyo
[emoji1593]"Kupitiwa haijawahi kuwa dhambi Wala kusahau haijawahi kuwa dhambi ".

Viongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu /wao na timu nyingine.

[emoji1593]12 July 2021 mzee kashembe aliweka wazi madudu tenda ya jezi na vunja bei /barba walihusika na tenda kufanyika kienyeji alisema kishemba "mnakumbuka ??tafuta mahojiano yake utajua kama hujui.

[emoji1593]Rejea 4 January ,2021 ilitaja vigezo vya kutaka mdhamini wa kutengeza jezi. Ni nani aliyeshinda kihalali tenda ya jezi ??
Anta sport ndio aliyeshinda tenda ya udhamini wa kutengeneza jezi za Simba kihalali kabisa viongozi wote wa Simba wanajua ila alinyimwa kwa sababu anayemiliki ni GHALIB SAID MOHAMED (GSM ).

[emoji1593]20 April 2021 BARBA GONZALEZ alitangaza ameshinda tenda ya kutengeneza jezi ni fredy vunja bei .......sasa pata utamu kwa nini GSM aliingia na kutengeneza jezi za Simba .

[emoji1593]picha linaanza fredy hakuwa hana pesa ya tenda aliyopewa sasa akaamua kumfuata the Sunderland one...,...."Akamwambia nimeshinda nitapata wapi pesa ya kulipa ??nipe sub contract nitengeneze jezi na wewe utakuwa supply tu .

[emoji1593]Sunderland akamfuata GSM amkopeshe pesa bilioni 2 .2 bila riba Hili ampe fredy Ila alipewa masharti mawili

Mosi ,jezi atengeneze yeye GSM kutoka kwenye kiwanda chake kilichopo Turkish

Pili ,bandarini mzigo atoe yeye kupitia kampuni yake na kusupply jezi .

Haya yote yalifanywa nyuma ya pazia na Sunderland na fredy anajua kabisa ,wangapi wanakumbuka jezi za Simba zilizovyokuwa na rebo ya GSM na yanga ? Jibu ni rahisi aliyetengeneza ni GSM ndio maana mpaka Leo hakuna kesi.

[emoji1593]Najua wengi hawajui Yale maghorofa pale kariakoo aliyopangishwa Sunderland ni ya GHALIB (GSM) tena amewakodisha Hadi viongozi wa Simba pale ukibisha nawataja Hadi namba ya chumba.

[emoji1593]fredy alivyojua ukweli pakatokea bifu na Sunderland akimlalamikia sub contract wake ,hakujua zile pesa bilioni 2.2 zilitoka kwa GSM .wafanyabiashara wote kariakoo wanajua kuwa zile pesa alitoa na nani , fredy akaambiwa ukweli akabaki hoi!!hoi! Akamkasirikia Sunderland wiki mbili bila kuongea ,alichofanya Sunderland mzigo ukazuiwa bandarini kama wiki mbili bila kusambazwa mzigo sokoni ukawa haupo kabisa ,hatimaye fredy akaenda kumpigia magoti Sunderland .

[emoji1593]Nenda kwenye akaunti ya vunja alisusa kuisapoti bidhaa za Sunderland Ila wiki iliyoisha ndio kapost kavideo kakionesha kuwa mzigo unapatikana Sunderland kujiridhisha nenda kwenye account yake ya Instagram

[emoji1593]Mpaka Leo hii hakuna mwanasimba yeyote anayejua jezi zinazalishwa wapi na kiwanda gani hata fredy Hajui hata Sunderland hajui Ila GHALIB SAID MOHAMED tu .

[emoji1593]mtu yeyote anayejua jezi za Simba zinatengenezwa kiwanda gani aje na ushahidi nikatwe mkono hadharani ...pia ujue jezi za Simba hata vile visheti kwenye jezi ni kama za yanga msimu uliopita ,pia angalia matundu ya pembeni ya jezi ni kama vile za yanga kabisa ushahidi chukua fananisha utajua ninachosema.

[emoji1593]
Mambo mengi najua mashabiki hawajui kuhusu vilabu vyao umemnyima Huku kapitia kwingine kupata pesa GSM [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460].

MTAJUA KAMA HAMJUI
 
Back
Top Bottom