Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..umeumbuka wewe mwana utopolo...😂😂😂Kila la kheri Plateau United nawasikitikia watu wasio na imani na nyinyi!
Imeisha hiyo!!!!!Kuelekea mpambano wa klabu bingwa Africa hatua ya awali, kwa upande wangu naona Kuna kila dalili ya Simba kufanikiwa kumtoa Plateau United ya Nigeria. Ikumbukwe kuwa kwanzia janga la corona litikise, michezo mingi ilisimamishwa na hiyo ni pamoja na ligi ya Nigeria pia ilisimama.
Na mpaka sasa timu ya Plateau haijacheza mchezo wowote wa kimashindano ukizingatia ya kwamba ligi ya Nigeria pia bado haijaanza. Tofauti na Simba ambayo imecheza michezo mingi ya kirafiki na kimashindano (ligi kuu bara)
Hivyo nawapa Simba nafasi ya kufuzu kwasababu wana match fitness tofauti na timu ya Plateau united.
Kwa iyo tuwarudishie ushindi au?Wote tumeshuhudia jinsi mechi zote mbili zilivyokuwa tough kwa Simba. Hii timu imekosa tu match fitness kutokana na kukaa muda mrefu pasipo kucheza mechi yoyote ya kimashindano tofauti na Simba