Simba anaweza akamtoa Plateau united

Simba anaweza akamtoa Plateau united

Leo ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu.
 
Kila la kheri Plateau United nawasikitikia watu wasio na imani na nyinyi!
 
Nilisema mimi hapo awali, sasa bila shaka Simba anaenda kukutana na timu ya Platinum ya Zimbabwe kwenye hatua inayofuata. Hapa pia Simba anaweza akavuka hatua inayofuata na kufika mbali zaidi. Ni timu ambayo Inaweza kuwa surprise watu msimu huu
 
Wote tumeshuhudia jinsi mechi zote mbili zilivyokuwa tough kwa Simba. Hii timu imekosa tu match fitness kutokana na kukaa muda mrefu pasipo kucheza mechi yoyote ya kimashindano tofauti na Simba.
 
Kuelekea mpambano wa klabu bingwa Africa hatua ya awali, kwa upande wangu naona Kuna kila dalili ya Simba kufanikiwa kumtoa Plateau United ya Nigeria. Ikumbukwe kuwa kwanzia janga la corona litikise, michezo mingi ilisimamishwa na hiyo ni pamoja na ligi ya Nigeria pia ilisimama.

Na mpaka sasa timu ya Plateau haijacheza mchezo wowote wa kimashindano ukizingatia ya kwamba ligi ya Nigeria pia bado haijaanza. Tofauti na Simba ambayo imecheza michezo mingi ya kirafiki na kimashindano (ligi kuu bara)

Hivyo nawapa Simba nafasi ya kufuzu kwasababu wana match fitness tofauti na timu ya Plateau united.
Imeisha hiyo!!!!!
 
Wote tumeshuhudia jinsi mechi zote mbili zilivyokuwa tough kwa Simba. Hii timu imekosa tu match fitness kutokana na kukaa muda mrefu pasipo kucheza mechi yoyote ya kimashindano tofauti na Simba
Kwa iyo tuwarudishie ushindi au?
 
Back
Top Bottom