Lishieldi tunalo hatunalo?View attachment 592208
Hehe true bro, chezea kutema yai kwa ufasaha we!.. Ras Simba azidi kupambana...Alf we najua wa yanga[emoji23]Halafu nakumbuka hiki kituko cha 'SHEILD'......ung'eng'e matatizo kwa wenzetu....
Japo mimi hapa Jangwani kwa kwenda mbele...
Kwa hili la Simba vs Yanga nakiri Watanzania wametushinda maana timu mbili hizo zikichuana, nchi yao yote hugawanyika kwenye makundi mawili, lakini kwetu hapa AFC na Gor derby yao inaishia kushabikiwa maeneo maeneo tu ya nchi sio kote kote.
Sio kweli mkuu. Nimetembea kote Kenya na nimekutana na ndugu wawili Isiolo wa kuzaliwa tumbo moja, na wanashabikia Gor na efusi. Yaani hawapatani kabsa kwa hilo la nani babe wa soka Kenya.Halafu nakumbuka hiki kituko cha 'SHEILD'......ung'eng'e matatizo kwa wenzetu....
Japo mimi hapa Jangwani kwa kwenda mbele...
Kwa hili la Simba vs Yanga nakiri Watanzania wametushinda maana timu mbili hizo zikichuana, nchi yao yote hugawanyika kwenye makundi mawili, lakini kwetu hapa AFC na Gor derby yao inaishia kushabikiwa maeneo maeneo tu ya nchi sio kote kote.
toto si toto..mashalaaahhhhh!!!!!!ziwa kana kwamba kaazima la jirani pia aongezee uzitoHamuwezani
Jezi kama ya Yanga.Hamuwezani
Nimependa hizo yoghurt mkuu!Hamuwezani
Umekosea sana simba timu ya kuchaikiaToka hapa Nairobi, mm shabik sugu wa Simba ...Simba kwanza MTU baadae kudadadenye[emoji3] [emoji125] [emoji191] View attachment 592205
Hii ndio source ya Brookside?🙄Hamuwezani
hahahaha nyi watu mtanimaliza ,Nimependa hizo yoghurt mkuu!
Hii ndio source ya Brookside?🙄
Nahisi haya ndio Yale maziwa makuu ninayoyasikiaga wakiyasema!
Wisdom will kill me one day!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]