Simba and yanga the biggest derby in East and central Africa

Simba and yanga the biggest derby in East and central Africa

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Yah, this is it..kuna mashabiki Wa simba na yanga hadi Kenya Rwanda Burundi south Africa nk...
aead4527d0a4a4636a35f35398edac05.jpg
 
Ati East and Central Africa
Central Africa kuna TP Mazembe na AS vita
 
Lishieldi tunalo hatunalo?View attachment 592208

Halafu nakumbuka hiki kituko cha 'SHEILD'......ung'eng'e matatizo kwa wenzetu....

Japo mimi hapa Jangwani kwa kwenda mbele...
Kwa hili la Simba vs Yanga nakiri Watanzania wametushinda maana timu mbili hizo zikichuana, nchi yao yote hugawanyika kwenye makundi mawili, lakini kwetu hapa AFC na Gor derby yao inaishia kushabikiwa maeneo maeneo tu ya nchi sio kote kote.

ozzie.jpg
 
Niko hapa Spanish town, Jamaica, jirani na mtu mzima Coco tea..ni Simba damu huyu jamaa.
 
Halafu nakumbuka hiki kituko cha 'SHEILD'......ung'eng'e matatizo kwa wenzetu....

Japo mimi hapa Jangwani kwa kwenda mbele...
Kwa hili la Simba vs Yanga nakiri Watanzania wametushinda maana timu mbili hizo zikichuana, nchi yao yote hugawanyika kwenye makundi mawili, lakini kwetu hapa AFC na Gor derby yao inaishia kushabikiwa maeneo maeneo tu ya nchi sio kote kote.

ozzie.jpg
Hehe true bro, chezea kutema yai kwa ufasaha we!.. Ras Simba azidi kupambana...Alf we najua wa yanga[emoji23]
 
Halafu nakumbuka hiki kituko cha 'SHEILD'......ung'eng'e matatizo kwa wenzetu....

Japo mimi hapa Jangwani kwa kwenda mbele...
Kwa hili la Simba vs Yanga nakiri Watanzania wametushinda maana timu mbili hizo zikichuana, nchi yao yote hugawanyika kwenye makundi mawili, lakini kwetu hapa AFC na Gor derby yao inaishia kushabikiwa maeneo maeneo tu ya nchi sio kote kote.

ozzie.jpg
Sio kweli mkuu. Nimetembea kote Kenya na nimekutana na ndugu wawili Isiolo wa kuzaliwa tumbo moja, na wanashabikia Gor na efusi. Yaani hawapatani kabsa kwa hilo la nani babe wa soka Kenya.
Lakini tujuavyo matokeo na mataji ndo kila kitu.

Ungesema kuna maeneo mengi sana Kenya hawajui na hawachezi soka ningekuelewa. Pia naunga mkono huo usimba na uyanga ya wabongo umezidi yetu. Na kwa taarifa ya wote mimi niko upande wa njano, sioni jinsi naweza shabikia mnyama pori.
 
Back
Top Bottom