Simba angekandwa hata 7_ 0 na Marumo gallants

Simba angekandwa hata 7_ 0 na Marumo gallants

Simba anafunga MECHI na timu kubwa kama wydad cassabranca, ahyl Cairo, mabingwa Sasa akina marumo sijui malumo ndo mtuumize kichwa hii NI bahati yenu itumieni

Mwakani Simba atakuwa serious saana atachukuwa club bingwa sijui mtajificha wapi akina Lugano
 
Simba anafunga MECHI na timu kubwa kama wydad cassabranca, ahyl Cairo, mabingwa Sasa akina marumo sijui malumo ndo mtuumize kichwa hii NI bahati yenu itumieni

Mwakani Simba atakuwa serious saana atachukuwa club bingwa sijui mtajificha wapi akina Lugano
1683964503915.png
 
Mimi ni gempongeza Ya ga kama Angekuwa Club BINGWA CAFCL.

ANACHEZA NA WANAUME AKINA .

RAJA CASABLANCA.
WYDAD CASABLANCA.
ALHALY.
ZAMALECK.
MAMELOD.
KAIZER CHEEF.
OLANDO PAIRATES.

Hakika Hilo ni kombe la looser Na Mwaka una ma looser kibao.


Timu ya kushuka Daraja PSL IMETUSUMBUA sana Jana.

Mwenye akili afikiri
Tuliosoma Guantanamo tushaelewa...yaani marumo shootng na ruvu garrants wote wanashuka daraja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uchambuzi

Kwa mpira niliouna Jana Kwa marumo gallants kama wangecheza na Simba (Makolo) basi taifa lingepata aibu kubwa mno Kwa sababu zifuatazo

Spidi ya marumo gallants ni kubwa mno Kwa wachezaji wa Simba ukichanganya na umri mkubwa walionao makolo ....Kwan marumo ywanacheza counter plus mipira ya kuvizia ambayo ni hatari Kwa Makolo

Pili ni kuwa Simba hawana uzoefu wa kucheza michuano kwenye ngazi ya nusu fainaliy

NB.Kwa vigezo hivi Simba wangekandwa 7 _0
Mashabiki wa utopolo ndo maana manara alisema hawanaga akili 🤣🤣🤣
 
Uchambuzi

Kwa mpira niliouna Jana Kwa marumo gallants kama wangecheza na Simba (Makolo) basi taifa lingepata aibu kubwa mno Kwa sababu zifuatazo

Spidi ya marumo gallants ni kubwa mno Kwa wachezaji wa Simba ukichanganya na umri mkubwa walionao makolo ....Kwan marumo ywanacheza counter plus mipira ya kuvizia ambayo ni hatari Kwa Makolo

Pili ni kuwa Simba hawana uzoefu wa kucheza michuano kwenye ngazi ya nusu fainaliy

NB.Kwa vigezo hivi Simba wangekandwa 7 _0
Ungekua mdada au wakike tungesema una mimba changa au upo kwenye ministration period (Mp)

Simba 🦁 timu kubwa afrika imeitangaza...inaitangaza Tanzania Vyema....🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Simba anafunga MECHI na timu kubwa kama wydad cassabranca, ahyl Cairo, mabingwa Sasa akina marumo sijui malumo ndo mtuumize kichwa hii NI bahati yenu itumieni

Mwakani Simba atakuwa serious saana atachukuwa club bingwa sijui mtajificha wapi akina Lugano
Usisahau kuwa ni bingwa wa kufa kiume
 
Back
Top Bottom