Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Uchambuzi wangu Leo
Kwa michezo tuliyopata kuishudia siku ya Jana Kwa kweli soka la bongo limekua Kwa kiasi kikubwa timu zinacheza Kwa kujiamini Hadi ugenini
Kwa upande wa ndugu zetu wanamsimbazi kama ndo wangekutana na Al mereikh Kwa mchezo waliocheza Jana......basi wangekutana na na kichapo Cha kutisha
Coz Al mereikh walikuwa wanacheza Kwa spidi japo viungo wa Yanga walidhibiti pale katikati kitu ambacho ingekuwa Simba basi tungeshudia Simba wakikandwa magoli ya kutosha
NB: unadhani Simba wangekula ngapi wangekipiga na Al mereikh???
Kwa michezo tuliyopata kuishudia siku ya Jana Kwa kweli soka la bongo limekua Kwa kiasi kikubwa timu zinacheza Kwa kujiamini Hadi ugenini
Kwa upande wa ndugu zetu wanamsimbazi kama ndo wangekutana na Al mereikh Kwa mchezo waliocheza Jana......basi wangekutana na na kichapo Cha kutisha
Coz Al mereikh walikuwa wanacheza Kwa spidi japo viungo wa Yanga walidhibiti pale katikati kitu ambacho ingekuwa Simba basi tungeshudia Simba wakikandwa magoli ya kutosha
NB: unadhani Simba wangekula ngapi wangekipiga na Al mereikh???