kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Penye moshi kuna moto, muda sio mwingi Mh. MO atakaa pembeni maana inaonekana anatoa pesa yake kishingo upande. Kuna siku alisemega kuwa 20 bil zake zinaweza kununua bank, na sasa anasema 4bil zake zinatumika kulipa mishahara ya Simba bila sababu.
Mh. MO anataka Simba ishinde mechi zoooooote (100%) inapocheza na timu zote kwenye mashindano yote. Na hilo ndio lililomfanya Aussems afukuzwe pia.
Simba tujiandae kutafuta namna bora ya uwekezaji.
Mh. MO anataka Simba ishinde mechi zoooooote (100%) inapocheza na timu zote kwenye mashindano yote. Na hilo ndio lililomfanya Aussems afukuzwe pia.
Simba tujiandae kutafuta namna bora ya uwekezaji.