Simba aruhusiwe kucheza mechi vs Wydad ianze saa tisa kwa Mkapa kwenye jua. Kama Mamelodi anavyoanza mechi zake na Waarabu saa tisa kwenye jua

Simba aruhusiwe kucheza mechi vs Wydad ianze saa tisa kwa Mkapa kwenye jua. Kama Mamelodi anavyoanza mechi zake na Waarabu saa tisa kwenye jua

Habari wadau. wiki ijayo simba anarudiana na Wydad kwa mkapa.

Ni vizuri mechi hiyo ianze saa tisa jua bado kaii ili iishe saa 11 kasoro jua bado halijazama pia

Hii mbinu anaitumia Mamelodi Sundown anapocheza na waarabu , waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua

Kama CAF wanairuhusu Mamelodi kucheza home game zake saa 9 jua kali. na Simba na yeye aruhusiwe
Mkuu usirushe jiwe sokoni unaweza piga ndugu yako mwenyewe,hivi mechi saa 9 na vile vikongwe vyenu navyo vitaweza vumilia!!!
 
Habari wadau. wiki ijayo simba anarudiana na Wydad kwa mkapa.

Ni vizuri mechi hiyo ianze saa tisa jua bado kaii ili iishe saa 11 kasoro jua bado halijazama pia

Hii mbinu anaitumia Mamelodi Sundown anapocheza na waarabu , waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua

Kama CAF wanairuhusu Mamelodi kucheza home game zake saa 9 jua kali. na Simba na yeye aruhusiwe
Mkuu usirushe jiwe sokoni unaweza piga ndugu yako mwenyewe,hivi mechi saa 9 na vile vikongwe vyenu navyo vitaweza vumilia!!!
 
Hivi huwa mnajisahaulisha hao waarabu wanatokea JANGWANI kwenye jua kali Dar cha Mtoto? Huwa nachekaga sana naposikia eti tuwachezeshe mchana jua kali...utafikiri waarabu wanatoka Scandinavian countries....
 
Mamelodi ni Giant wa Afrika anashiriki katika maamzi wa mpira wa Afrika.. Ila Simba jiyantiii wa Tz ambaye hata hana maamzi yoyote CAF.
 
This is a shallow thinking, how does playing under the scorching sun help Mamelody Sundowns..??
 
Mamelodi nyumbani kwake ni Pretoria.. ndipo anachezea mechi zake

Pretoria ni mji salama kuliko Johannersburg.

Mechi za Jo burg zinachezwa usiku. Why not pretoria ?

Na kama pretoria sio salama mbona Mamelodi huyo huyo Petro luanda amecheza nae usiku ?

Kwenye kundi lake mamelodi ana mechi na Tp mazembe. Utaona muda atakaocheza na mazembe , utakuwa jua limezama.. huku Waarabu anacheza nao saa tisa mchana
Kwahyo mechi ya juzi na pyramid ilichezwa saa 9? Ni saa 10 bana
 
Hivi huwa mnajisahaulisha hao waarabu wanatokea JANGWANI kwenye jua kali Dar cha Mtoto? Huwa nachekaga sana naposikia eti tuwachezeshe mchana jua kali...utafikiri waarabu wanatoka Scandinavian countries....
Kwahyo mechi ya juzi na pyramid ilichezwa saa 9? Ni saa 10 bana

Acha ubishi wa kitoto

Mechi ilianza Saa 10 kwa saa za Tanzania.. ambayo ni sawa na saa 9 kwa saa za afrika ya kusini.

Unahisi mimi ni mjinga nadanganya ?
 
Habari wadau. wiki ijayo simba anarudiana na Wydad kwa mkapa.

Ni vizuri mechi hiyo ianze saa tisa jua bado kaii ili iishe saa 11 kasoro jua bado halijazama pia

Hii mbinu anaitumia Mamelodi Sundown anapocheza na waarabu , waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua

Kama CAF wanairuhusu Mamelodi kucheza home game zake saa 9 jua kali. na Simba na yeye aruhusiwe
Mamelodi nao wanachekesha, yaani unamchezesha mwarabu wa jangwani kwenye jua la Sauzi?
 
Mamelodi nao wanachekesha, yaani unamchezesha mwarabu wa jangwani kwenye jua la Sauzi?

Na anamfunga sana sababu waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua

Mwarabu kwao huwa hachezi mechi juani...
 
mbona Memelodi anaruhusiwa kila siku anapocheza na waarabu anaanza mechi saa tisa kule south.

ila mamelodi huyo huyo akicheza na weusi wenzake anaanza mechi jua limeshazama
South afrika hamna joto kali kama la dam kule hadi mchana kuna kaupepo ka baridi kanapita
Mda mwingine tukubali ujinga ni mzigo
 
South afrika hamna joto kali kama la dam kule hadi mchana kuna kaupepo ka baridi kanapita
Mda mwingine tukubali ujinga ni mzigo

Kama hakuna joto kali kwa nini hachezi na timu za weusi muda huo wenye jua.. mbona Tp Mazembe hamchezeshi saa tisa ?

Mbona Petro hamchezeshi saa tisa

Kwa nini hiyo saa tisa achague timu vigogo za waarabu tu ?
 
Kama hakuna joto kali kwa nini hachezi na timu za weusi muda huo wenye jua.. mbona Tp Mazembe hamchezeshi saa tisa ?

Mbona Petro hamchezeshi saa tisa

Kwa nini hiyo saa tisa achague timu vigogo za waarabu tu ?
Ulishawi endaga south afrika au unabisha kwa kutumia nguvu ya ubishi
 
Na anamfunga sana sababu waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua

Mwarabu kwao huwa hachezi mechi juani...
Mkuu, mtu anayeishi jangwani unategemea jua la kawaida litamuathiri? Tena afadhali ingekuwa hapa kwetu, jua lenyewe la Pretoria?
 
Habari wadau. wiki ijayo simba anarudiana na Wydad kwa mkapa.

Ni vizuri mechi hiyo ianze saa tisa jua bado kaii ili iishe saa 11 kasoro jua bado halijazama pia

Hii mbinu anaitumia Mamelodi Sundown anapocheza na waarabu , waarabu hawajazoea kucheza kwenye jua

Kama CAF wanairuhusu Mamelodi kucheza home game zake saa 9 jua kali. na Simba na yeye aruhusiwe
Hizo ni mbinu za kijinga tu kama za waarabu kumulika vitochi.

Kama hamjui kucheza mnafungwa tu hata mkicheza saa nane usiku.
 
Back
Top Bottom