Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tutaendelea kuwachana makavu aijalishi mmechukia ama lah, nyeusi tutasema ni nyeusi, na nyeupe tutasema ni nyeupe, mashabiki wengi wa Simba kama wewe uwa amtaki kusikia timu yenu ikikosolewa na anayewakosoa mnaona sio mwenzenu, mnataka kusifiwa tu basi lakini ili mgonjwa apone lazima umeze dawa ata kama ni chungu, narudia Tena Simba akuna timu pale ya kushindana kimataifa na ata kwenye ligi tu bado, si ligi ndo imeanza na mechi za kimataifa tutawaona mtafikia wapi!Kwa hiyo Real Madrid ni wabovu kwa kutoa sare na Las Palmas tena kwenye ligi?Tena Real amechomoa kwa penalti.
Una safari ndefu sana kwenye uchambuzi wa mpira kwa sababu mpira huujui.
Umeanza ushabiki kwa kukariri kwamba timu lazima ishinde tu.Kocha Fadlu amehojiwa na amesema kwamba lengo la kubadili timu kipindi cha pili ni wachezaji wote wapate exposure na ayafanyie kazi makosa yatakayojitokeza.
Mpira ni mchezo wa makosa ndio maana timu zinafungana.Ushabiki maandazi peleka huko kwenye mashabiki maandazi wenzako.
Hakuna cha maana ulichoandika bali kutimiza tu ushabiki wa timu unayeishabikia.Ndio maana ulipopingwa ukarukia uongozi wa Magungu.
Leta hoja sio viroja mwandiko ndio utakutengenezea timu yako? 🚮🚮🚮
Note ,Ungesoma alicho andika, Leo Al Hilal walimkosa mshambuliaji na captain wao mchezaji hatari zaidi katika ukanda uu wa Afrika Mashariki na kati anaitwa Mohamed.
Kikubwa Simba katika maeneo yote matatu ya uwanja spidi Yao inalingana na haileti picha nzuri inapo elekea.
Spidi ya kutokea golini , katikati mpaka mwisho hazipishani ni jambo la kushangaza katika mpira wa kisasa.
Hayana akili hayo, yaani anajifanya kuweka tathimini ya mechi ya kirafiki kama vile yeye ndiyo alipanga ichezwe, makocha wanaangalia mambo Yao.Vibudu hivyo Baba. Sio kosa Lao Bali makafara yanawapelekesha🤣
Yameona wivu. Kila kitu Simba iko mbele. Sijui wataiga?au watakausha?Hayana akili hayo, yaani anajifanya kuweka tathimini ya mechi ya kirafiki kama vile yeye ndiyo alipanga ichezwe, makocha wanaangalia mambo Yao.
Akielewa nitag. Nimejaribu kumuelimisha kumbe mtu mwenyewe hazitoshi.Maisha ndivyo yalivyo huwezi ukawa Bora siku zote na ukafanya yaliyo Bora siku zote,,,kupanda na kushuka ndio maisha yetu kila siku na ndio asili ya Maisha Kiujumla Kwa kila levo ya kimaisha tuliojaliwa na kubarikiwa pia,,,Jifunze na Jitahidi kutulia Kwa kila pito la kimaisha Iwe ni mbaya au nzuri Kwa Maono,,,Fikra na mitazamo yako binafsi.
Huu muda uliotimia kuandika ungetumia kupiga punyeto ungesaidia kupunguza huo msongo wa mawazo uliyonayo.Tumeona Leo vijana wenu Wenye umri mdogo wakicheza mechi ya kirafiki na al hilal ya Sudan, tumeona timu yenu kimbinu na kiufundi ilivyo!
Al hilal awa wamepungua ubora wao kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na al hilal Ile iliyocheza na yanga msimu juzi ikiwa ya moto ikiwa na vijana wakina Ibrahim imoro, nafikiri vita vya kule kwao sudani viliwaathiri sana mpaka wakakimbiwa na wachezaji wao muhimu!
Licha ya vita walikosa kucheza ligi kwa msimu mzima ni jambo liliwapunguza nguvu sana mpaka sasa wameomba kucheza ligi ya Mauritania ambayo aijaanza bado!
Pamoja na udhaifu wao Leo bado wamewapa Simba mechi inayomtaka kocha fadlu afanye kazi ya ziada kuiweka Sawa timu yake bado Ina mtihani wa kufanya!
Mechi za kimataifa uwa zinachezwa kimbinu sana na kiufundi lakini kwa kocha uyu wa Simba sijaona kama Yuko vizuri kimbinu kwa maana mechi hizi inatakiwa pia ujaribu mbinu zako uone namna utavyokabiliana na wapinzani wako kwenye mechi za kimataifa!
Uwezi kujaribu mbinu kwenye mazoezi na ukajipa asilimia 100 kwamba umefanikiwa bila kuzijaribu kwenye mechi kama hizi itakuwa unajidanganya na utakuwa kama kocha wa Azam aliyekurupuka kuanza na back 3 kwenye mechi ya yanga na akatandikwa chuma 4!
Simba kaongoza goli Moja kipindi cha kwanza alitakiwa awe na mbinu Bora za kulinda ushindi na kuongeza goli ama asiruhusu goli,
Jamaa wamerudi wakapata kadi nyekundu wakawa pungufu lakini bado wakawa wanaonekana kama vile wametimia kwa namna walivyokuwa wanacheza, akukuwepo tofauti kati ya timu pungufu na timu iliyokamilika, na bado wakasawazisha goli!
Iyo sio kwamba ni bahati mbaya bali ni ujumbe umetumwa kwamba timu yenu bado Ina mapungufu kibao na inakwenda kukutana na timu zenye uwezo zaidi ya hao al hilal au wanaolingana uwezo je watatoboa?
Timu nzima ilikuwa inapanda kipindi cha pili kwenda kutafuta goli baada ya kuona wako pungufu na bado wakawa wanajisahau wanapiga vipasi vya hapa na pale ambavyo avikuwa na madhara kwa mpinzani, counter attack Moja tu wakapigwa ikazaa goli!
Ndo hapo tunarudi kwenye suala la uzoefu pia kwa wachezaji uwa linasaidia sana awa vijana wa Simba wao wanavyocheza na timu za ligi kuu ivyo ivyo wanataka wacheze na mechi ya kimataifa sio Sawa ata kidogo!
Kina awesu wanakaa na Mpira kucheza na majukwaa mpaka wanaporwa mipira, but wenzao wa al hilal ulikuwa unaona Kuna uzoefu wanao kuliko Simba, walikuwa wanacheza objective football!
Nawaambia msiwe mnamaliza maneno kwa mechi za tabora united na fountain gate, tengenezeni timu bado sana vinginevyo mtawafata coast union na Azam mapema sana!
Muulize tena..wao wamecheza na nani!?Ulitaka wacheze na nani mechi ya kirafiki kwa timu ambayo ina ubora wa hali ya juu,, acheni ushabiki wa kiwaki
Kwahiyo Simba nayo haikukosa wachezaji wao muhimu?!Ungesoma alicho andika, Leo Al Hilal walimkosa mshambuliaji na captain wao mchezaji hatari zaidi katika ukanda uu wa Afrika Mashariki na kati anaitwa Mohamed.
Kikubwa Simba katika maeneo yote matatu ya uwanja spidi Yao inalingana na haileti picha nzuri inapo elekea.
Spidi ya kutokea golini , katikati mpaka mwisho hazipishani ni jambo la kushangaza katika mpira wa kisasa.
Huko nyumamwiko wenye akili ni wawili tu.Tumeona Leo vijana wenu Wenye umri mdogo wakicheza mechi ya kirafiki na al hilal ya Sudan, tumeona timu yenu kimbinu na kiufundi ilivyo!
Al hilal awa wamepungua ubora wao kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na al hilal Ile iliyocheza na yanga msimu juzi ikiwa ya moto ikiwa na vijana wakina Ibrahim imoro, nafikiri vita vya kule kwao sudani viliwaathiri sana mpaka wakakimbiwa na wachezaji wao muhimu!
Licha ya vita walikosa kucheza ligi kwa msimu mzima ni jambo liliwapunguza nguvu sana mpaka sasa wameomba kucheza ligi ya Mauritania ambayo aijaanza bado!
Pamoja na udhaifu wao Leo bado wamewapa Simba mechi inayomtaka kocha fadlu afanye kazi ya ziada kuiweka Sawa timu yake bado Ina mtihani wa kufanya!
Mechi za kimataifa uwa zinachezwa kimbinu sana na kiufundi lakini kwa kocha uyu wa Simba sijaona kama Yuko vizuri kimbinu kwa maana mechi hizi inatakiwa pia ujaribu mbinu zako uone namna utavyokabiliana na wapinzani wako kwenye mechi za kimataifa!
Uwezi kujaribu mbinu kwenye mazoezi na ukajipa asilimia 100 kwamba umefanikiwa bila kuzijaribu kwenye mechi kama hizi itakuwa unajidanganya na utakuwa kama kocha wa Azam aliyekurupuka kuanza na back 3 kwenye mechi ya yanga na akatandikwa chuma 4!
Simba kaongoza goli Moja kipindi cha kwanza alitakiwa awe na mbinu Bora za kulinda ushindi na kuongeza goli ama asiruhusu goli,
Jamaa wamerudi wakapata kadi nyekundu wakawa pungufu lakini bado wakawa wanaonekana kama vile wametimia kwa namna walivyokuwa wanacheza, akukuwepo tofauti kati ya timu pungufu na timu iliyokamilika, na bado wakasawazisha goli!
Iyo sio kwamba ni bahati mbaya bali ni ujumbe umetumwa kwamba timu yenu bado Ina mapungufu kibao na inakwenda kukutana na timu zenye uwezo zaidi ya hao al hilal au wanaolingana uwezo je watatoboa?
Timu nzima ilikuwa inapanda kipindi cha pili kwenda kutafuta goli baada ya kuona wako pungufu na bado wakawa wanajisahau wanapiga vipasi vya hapa na pale ambavyo avikuwa na madhara kwa mpinzani, counter attack Moja tu wakapigwa ikazaa goli!
Ndo hapo tunarudi kwenye suala la uzoefu pia kwa wachezaji uwa linasaidia sana awa vijana wa Simba wao wanavyocheza na timu za ligi kuu ivyo ivyo wanataka wacheze na mechi ya kimataifa sio Sawa ata kidogo!
Kina awesu wanakaa na Mpira kucheza na majukwaa mpaka wanaporwa mipira, but wenzao wa al hilal ulikuwa unaona Kuna uzoefu wanao kuliko Simba, walikuwa wanacheza objective football!
Nawaambia msiwe mnamaliza maneno kwa mechi za tabora united na fountain gate, tengenezeni timu bado sana vinginevyo mtawafata coast union na Azam mapema sana!
Unateseka ukiwa Wapi?.Tumeona Leo vijana wenu Wenye umri mdogo wakicheza mechi ya kirafiki na al hilal ya Sudan, tumeona timu yenu kimbinu na kiufundi ilivyo!
Al hilal awa wamepungua ubora wao kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na al hilal Ile iliyocheza na yanga msimu juzi ikiwa ya moto ikiwa na vijana wakina Ibrahim imoro, nafikiri vita vya kule kwao sudani viliwaathiri sana mpaka wakakimbiwa na wachezaji wao muhimu!
Licha ya vita walikosa kucheza ligi kwa msimu mzima ni jambo liliwapunguza nguvu sana mpaka sasa wameomba kucheza ligi ya Mauritania ambayo aijaanza bado!
Pamoja na udhaifu wao Leo bado wamewapa Simba mechi inayomtaka kocha fadlu afanye kazi ya ziada kuiweka Sawa timu yake bado Ina mtihani wa kufanya!
Mechi za kimataifa uwa zinachezwa kimbinu sana na kiufundi lakini kwa kocha uyu wa Simba sijaona kama Yuko vizuri kimbinu kwa maana mechi hizi inatakiwa pia ujaribu mbinu zako uone namna utavyokabiliana na wapinzani wako kwenye mechi za kimataifa!
Uwezi kujaribu mbinu kwenye mazoezi na ukajipa asilimia 100 kwamba umefanikiwa bila kuzijaribu kwenye mechi kama hizi itakuwa unajidanganya na utakuwa kama kocha wa Azam aliyekurupuka kuanza na back 3 kwenye mechi ya yanga na akatandikwa chuma 4!
Simba kaongoza goli Moja kipindi cha kwanza alitakiwa awe na mbinu Bora za kulinda ushindi na kuongeza goli ama asiruhusu goli,
Jamaa wamerudi wakapata kadi nyekundu wakawa pungufu lakini bado wakawa wanaonekana kama vile wametimia kwa namna walivyokuwa wanacheza, akukuwepo tofauti kati ya timu pungufu na timu iliyokamilika, na bado wakasawazisha goli!
Iyo sio kwamba ni bahati mbaya bali ni ujumbe umetumwa kwamba timu yenu bado Ina mapungufu kibao na inakwenda kukutana na timu zenye uwezo zaidi ya hao al hilal au wanaolingana uwezo je watatoboa?
Timu nzima ilikuwa inapanda kipindi cha pili kwenda kutafuta goli baada ya kuona wako pungufu na bado wakawa wanajisahau wanapiga vipasi vya hapa na pale ambavyo avikuwa na madhara kwa mpinzani, counter attack Moja tu wakapigwa ikazaa goli!
Ndo hapo tunarudi kwenye suala la uzoefu pia kwa wachezaji uwa linasaidia sana awa vijana wa Simba wao wanavyocheza na timu za ligi kuu ivyo ivyo wanataka wacheze na mechi ya kimataifa sio Sawa ata kidogo!
Kina awesu wanakaa na Mpira kucheza na majukwaa mpaka wanaporwa mipira, but wenzao wa al hilal ulikuwa unaona Kuna uzoefu wanao kuliko Simba, walikuwa wanacheza objective football!
Nawaambia msiwe mnamaliza maneno kwa mechi za tabora united na fountain gate, tengenezeni timu bado sana vinginevyo mtawafata coast union na Azam mapema sana!