ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mtani amepata pigo lingine, baada ya kichaka alichokuwa anajificha la kuchukua kombe la mapinduzi kucheza na timu za taifa
Tujikumbushe mafanikio ya mtani aliyosomewa kwenye mkutano mkuu ni kama ifuatavyo
1. Bingwa kombe la Mapinduzi 😀
2 Whatsapp channel 😀
3 Kibegi
Mtani Sasa rasmi hatapata kombe lolote, maana alikuwa anaipeleka kikosi Zanzibar kushindana na akina Mlandege😀
Huko UMISETA yaani shirikisho hana chake
Huku NBC premier league Kuna Pdidy
( Yanga) hapa mtani anajua nafasi yake ni ya 4 utampa ticket ya kwenda huko matopeni shirikisho
Ubaya ubwege
Yanga bingwa
Tujikumbushe mafanikio ya mtani aliyosomewa kwenye mkutano mkuu ni kama ifuatavyo
1. Bingwa kombe la Mapinduzi 😀
2 Whatsapp channel 😀
3 Kibegi
Mtani Sasa rasmi hatapata kombe lolote, maana alikuwa anaipeleka kikosi Zanzibar kushindana na akina Mlandege😀
Huko UMISETA yaani shirikisho hana chake
Huku NBC premier league Kuna Pdidy
( Yanga) hapa mtani anajua nafasi yake ni ya 4 utampa ticket ya kwenda huko matopeni shirikisho
Ubaya ubwege
Yanga bingwa