Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Simba mnyama anaingia kambini kwa mechi ya kimataifa niseme tu kwa huzuni hii mechi simba atafungwa magoli mawili nk.
Hakutakuwa na sare...Mpaka sasa naona penalty kwenye hii mechi sijui
Upande ganii ila ft simba atapoteza hii mechi
Wale wa mkeka mpeni mpinzani wake wi na 2 plus
Na mashabiki wanaweza wafanyia fujo wachezaji baada ya mechi napendekeza ulinzi mkali uwepo kwa wachezaji sikuhio na viongozi wake
All d best
Hakutakuwa na sare...Mpaka sasa naona penalty kwenye hii mechi sijui
Upande ganii ila ft simba atapoteza hii mechi
Wale wa mkeka mpeni mpinzani wake wi na 2 plus
Na mashabiki wanaweza wafanyia fujo wachezaji baada ya mechi napendekeza ulinzi mkali uwepo kwa wachezaji sikuhio na viongozi wake
All d best