Humjui PDidy mkuu? Hapa leo kajitahidi haswaaaa naona kipigo cha 5-1 kimemnyoosha.rudi shule ya msingi ukajifunze somo la mwandiko.
Kwani huyo nae ni Kolofive?Humjui PDidy mkuu? Hapa leo kajitahidi haswaaaa naona kipigo cha 5-1 kimemnyoosha.
Mwananchi org kabisa huyo.Kwani huyo nae ni Kolofive?
🤣🤣🤣🤣Mmmh wachawi wameanza. Hata ile 5-1 walianza kwa kusema hivi kama masihara yaani. Pumbavu zenu wachawi!
5imba [emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu acha kuleta taharuki 5imba anaweza fanya vizuri.
Ha ha ha haya majina mnanfurahisha sana.Kwani huyo nae ni Kolofive?
Tena lialia.Kwani huyo nae ni Kolofive?
Pep mnene si karudishwa....Simba mnyama anaingia kambini kwa mechi ya kimataifa niseme tu kwa huzuni hii mechi simba atafungwa magoli mawili nk.
Hakutakuwa na sare...Mpaka sasa naona penalty kwenye hii mechi sijui
Upande ganii ila ft simba atapoteza hii mechi
Wale wa mkeka mpeni mpinzani wake wi na 2 plus
Na mashabiki wanaweza wafanyia fujo wachezaji baada ya mechi napendekeza ulinzi mkali uwepo kwa wachezaji sikuhio na viongozi wake
All d best
Pdidy ni mwananchi.Tena lialia.