Simba B hali mbaya wapewa posho ya buku tatu na kukimbia kambi

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Simba B wana hali mbaya sana,hawapati posho,hawajalipwa mishahara na baada ya kufungwa na Mtibwa B,inatakiwa wacheze mchezo wa mshindi wa tatu na Yanga ila madogo wamegoma na kama viongozi hawatatatua shida yao,kesho madogo hawachezi mechi na Yanga B.

Msiniulize kuhusu MO, ila soon vilio vya mooooooooo vitasikika
 

kiukweli hawana faida na timu.
kwa nini viongozi kiujumla wapo kimasilai sio hivo vipaji.
viongozi wengi wapo kwa ajili ya timu yenyewe na kujua pesa inaingia na kutoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…