Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Simba B wana hali mbaya sana,hawapati posho,hawajalipwa mishahara na baada ya kufungwa na Mtibwa B,inatakiwa wacheze mchezo wa mshindi wa tatu na Yanga ila madogo wamegoma na kama viongozi hawatatatua shida yao,kesho madogo hawachezi mechi na Yanga B.
Msiniulize kuhusu MO, ila soon vilio vya mooooooooo vitasikika
Msiniulize kuhusu MO, ila soon vilio vya mooooooooo vitasikika