Simba B hali mbaya wapewa posho ya buku tatu na kukimbia kambi

Hawa sio Simba pana wachezaji wawili hapo Alute na Niko nakaanao Kitaa hawajawahi hata kuisikia hiyo Sima B.
Ni picha ya uzushi tu hiyo
 
Then mtu anapiga kelele eti ...tuanataka tuwe kama TP Mazembe au National!
 
Madogo wako uwanjani muda huu wancheza game yao ya kutafuta mshindi wa tatu..
 
Dalili njema kwetu wananchi. Wao wajiandae kisaiklogia na Ma Muogo Mchungu wanaosajili
 
Hao Wana afadhali kuliko yanga ya zahera
Yanga tulikuwa na shida ila tulikuwa tunapanda pipa,sasa ukipanda pipa utalala kama hapo? Na kwa taarifa yako kila mkoa Yanga inapoenda mashabiki wa mkoa husika wanaandaa accommodation na baadhi ya matajiri wamiliki wa hotel waliomashabiki wa Yanga mikoani wanaigombania timu ilale hotelini kwake.

YANGA ni ya wananchi mkuu
 
Kuhusu Simba B kuteseka ni kweli kabisa japo Simba ni timu yangu ila kwa Simba B wanawafanyia sio yaani hao madogo wanafanyaga mazoezi hata maji ya kunywa ni ya kwenye ndoo huwa wanasahaulika kabisa na hata wakipewa posho nzuri basi ni elfu 10 kwa kila mmoja tena inaweza chukua hadi wiki 2 kupata posho nyingine kama hiyo

Hapo wanaoneemeka ni viongozi wao wakina Mgosi. SIMBA ijiangalie sana kwa hilo hakuna cha picha ya kuokoteza hilo ni ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…