SIMBA BADO WEWE NI MTALAMU WA SOKA LA KIMATAIFA WENGINE WABABAISHAJI TU

watanzania ni wagumu sana kuambiwa wakaelewa ndioc maana tunafail sana maeneo mengi..

Simba wamecheza mechi 4 ugenini ukiacha mechi ya nkana wameruhusu mabao 17 na kufunga goli 1 pia wamecheza michezo 4 nyumbani wamefunga magoli 6 na kuruhusu 1. Huwezi ukasema una timu nzuri kwa hesabu hizi..

Pia tukumbuke wote waliocheza Dar es salaam wamelalamikia hujuma mpaka pale Mazembe walipokuja na kuitahadharisha CAF juu ya hayo malalamiko na kila mtu Simba alivyoshindwa kumfunga Mazembe Nyumbani..
 
Mtasema yote Simba ni Wababe wa kimataifa kwa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Yanga alishiriki makundi mara ya mwisho CAF 1998.Wekeni matokeo yake tulinganishe.Alifungwa mabao 19 na kufunga goli 4 tena zote nyumbani Alikuwa wa mwisho kwenye kundi kwa kuwa na pointi 2 baada ya kutoa sare 2 nyumbani.Alifungwa goli 6 na Raja Casablanca.
Mwaka jana kwenye shirikisho alikuwa pia wa mwisho wa kufungwa goli 4 na USM,Gor Mahia waliwafunga 4 ugenini na 3 nyumbani na kufungwa pia na Rayon.
Wekeni rekodi ya mechi za Yanga kwenye makundi.
Ushiriki wa miaka 4 ulileta pointi 3 kwenye ranking. Aliyeshiriki mwaka 1 katika miaka hiyo 5 tunajua wote ameleta pointi 15 kwenye ranking.
Kwa soka la Tanzania kwa sasa mbabe anajulikana.
 
Mambo yakufarijiana haya,mnajifariji

Sent from Nokia 7 Plus
 
Kufa ni kufa tu nyingine ni mbwembwe!!! Kikubwa kujipanga upya msimu ujao!!! Poleni wafiwa!! Ila marehemu alikuwa na majigambo sana na mdomo usiokuwa na staha akidiriki kusema hata waje barcelona.. Ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa
 
Kufa ni kufa tu nyingine ni mbwembwe!!! Kikubwa kujipanga upya msimu ujao!!! Poleni wafiwa!! Ila marehemu alikuwa na majigambo sana na mdomo usiokuwa na staha akidiriki kusema hata waje barcelona.. Ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa
Ulikuwa ulevi wa sifa. Eti hata aje Barcelona anapigwa. Kabla ya Barca, wangeanza na TP Mazembe kwanza.
 
Pamoja na hayo timu ya Simba hatua iliyofikia imetengeneza Pesa kiasi cha.
Tsh, 3,000,000,000 /= Cash. na chenji inabaki.
Nyie mnayoibeza Simba sc katika juhudi zenu za kusakata kandanda mwaka huu mmetengeneza kiasi gani cha Pesa?
Au ni hiyo M 40 mnayoifukuzia kwenye kombe la FA ?
Kweli Nyani Haoni Kikalio Chake



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi! Hao Esperance na Wydad hatari mno hata wakiwa ugenini.
 
Uko sahihi mkuu! Defense ya Simba sio imara kuhimili mashambulizi hasa mechi za ugenini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…