Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Mbelekoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Mbao wamekubali nashangaa pale bondeni inawauma nn kwani maji yameisha
eb551d192a36c383e04b7edb71d4e8c9.jpg
 
Club ya Simba imetwàa Ubingwa wa Kombe la FA baada ya Kuichapa Mbao Goli 2-1 Magoli ya Simba Yamefungwa na Kichuya na Blagnon

Simba Sasa itaiwakilisha Tanzania katika Michuano ya shirikisho Barani Africa.
 
FA CUP 2017: Simba yatawazwa kuwa mabingwa wa kombe la shirikisho la Azam baada ya kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Mbao FC katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
lakini kwa waliotazama mechi île ni dhahiri simba wamebebwa pasi na kificho
marefa wa bongo mungu anawaona
 
Back
Top Bottom